Ertugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 13,644
- 27,540
The gwori,,kwahiyo kuanzia sasa itakuwaGeneral twende na hili hili... Nchi inabadili jina... Mimi nani?
up next..the gwori baby...loaded
The gwori,,kwahiyo kuanzia sasa itakuwaGeneral twende na hili hili... Nchi inabadili jina... Mimi nani?
General hapa jeshini usiitikie kinyonge..Kamanda hilo nenda nalo tu. ila tuko pamoja
Sawa kamanda,nimepokeaGeneral hapa jeshini usiitikie kinyonge..
Pokea maelekezo kuanzia sasa no Fake P,ni The Gwori,,,mguu sawa!!!
Ila wajukuu wakitaka lao huwezi kuwafanya kituUnapokuwa na Wajukuu wa kike, halafu ukasikia jiwe linarushwa juu ya paa la nyumba yako, ni lazima usingizi ukate
Hakuna mbinu vijana watatumia, isijulikane kwa Wazee wa mwaka 47 🤗
Vijana fuateni utaratibu 🤪
04:35AM
Lindoni
Shukran General TresorSawa kamanda,nimepokea
tuko pamojaShukran General Tresor
Unazidi kunipandisha kisukari na Presha Babu yaoIla wajukuu wakitaka lao huwezi kuwafanya kitu
Kuna wajukuu ambao walikuwa wanakaa ghorofani, basi usiku wanajifunga na kamba ndefu kisha inapitishwa kwenye balcony, wahuni wakija wanavuta kamba wajukuu wanashtuka halafu wanaanza kubebishana kama kawa
wakishindwa kujitahidi basi itawalazimu watake wasitake💃😊Imenitoshea kama wewe umeliptisha tu...!🤣🤣 Hawa wengine watajitahidi kuzoea
duhwakishindwa kujitahidi basi itawalazimu watake wasitake💃😊
naomba samare ya ule wa wamasai wenye rasta najua ulikua macho
hahahahaha,uzi bado upo Rafikinaomba samare ya ule wa wamasai wenye rasta najua ulikua macho
nimeuonahahahahaha,uzi bado upo Rafiki
oknimeuona
“Mamndenyi alikuwa si msomaji tu, alikuwa pia msambazaji wa appreciation.” 😂❤️
🌙 “Kuna majina yanapita JF, na kuna majina ambayo JF yenyewe inakumbuka. Mamndenyi ni moja ya yale majina ya pili.” 🏆🔥