The Gworl
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 5,783
- 17,582
Hapana na switch tu niwe kama wewe home g..kudekezwa Raha jamani🥹🥹siku ukianza kusema kimahaba ututajie na alie kuroga kabisa ili akizingua tujue tunaanzia wapi😅
Hapana na switch tu niwe kama wewe home g..kudekezwa Raha jamani🥹🥹siku ukianza kusema kimahaba ututajie na alie kuroga kabisa ili akizingua tujue tunaanzia wapi😅
hahahahahahaEphen ni mistress wa kuchombeza hiyo kazi anaimudu sana.. nakuhesabia siku tu 😂😂😂 labda general amkatae shetani tu
mi pia namuaminia😅Ephen ni mistress wa kuchombeza hiyo kazi anaimudu sana.. nakuhesabia siku tu 😂😂😂 labda general amkatae shetani tu
unataka uone vipi sasahebu tuone
Huyo hayupo serious! Post yake moja kakujibu 'aya bana' kashakata tamaa wakati sisi tunataka mtu wa kulilia penzi asubuhi mchana jioni halafu tunamkubali baada ya mwezi mzima.ngoja ephen anisaidie kujibu mi nashindwa kuelewa
unamuamini kwenye kuharibu au kujenga ,mi pia namuaminia😅
Natamani kuona ukibebika unakuajeHapana na switch tu niwe kama wewe home g..kudekezwa Raha jamani🥹🥹
ni raha kweli kweli,, nitakua nakusaidia kuspell ambavyo vitakua vigumu kwako😆😆 mfano hiyo Hunie" unaiwekea na nakshi ya kikopa 😜Hapana na switch tu niwe kama wewe home g..kudekezwa Raha jamani🥹🥹
kushauriunamuamini kwenye kuharibu au kujenga ,
mmmmh,kweli wapambe nuksi, na mpambe ana nguvu kuliko muhusika, aaghHuyo hayupo serious! Post yake moja kakujibu 'aya bana' kashakata tamaa wakati sisi tunataka mtu wa kulilia penzi asubuhi mchana jioni halafu tunamkubali baada ya mwezi mzima.
haya sina neno, kama unamuamini kwenye ushauri na kaisha kushauri cha kuamuakushauri
ndo majibu yake akizidisha sana utaona "hahahaha",, sijui ni uvivu wa kuandika au jeuriHuyo hayupo serious! Post yake moja kakujibu 'aya bana' kashakata tamaa wakati sisi tunataka mtu wa kulilia penzi asubuhi mchana jioni halafu tunamkubali baada ya mwezi mzima.
kwahiyo hauna neno serious?haya sina neno, kama unamuamini kwenye ushauri na kaisha kushauri cha kuamua
Huyo ni age go! Hana maneno mengi kwanza ashaoando majibu yake akizidisha sana utaona "hahahaha",, sijui ni uvivu wa kuandika au jeuri
Kaah jamani... Niwatag watu waje kukushuhudia? 😂😂😂Natamani kuona ukibebika unakuaje
nashindwa nisemaje, mie kama samaki nina mengi ya kusema ila mdomoni nina maji , na ni kilia machozi yanaenda na maji , nabaki kufurahi tu,hahahahahando majibu yake akizidisha sana utaona "hahahaha",, sijui ni uvivu wa kuandika au jeuri
😆😆😆 kumbe tayali kashapata ubavu wake, sa anataka nini tena et Tresor MandalaHugo ni age go! Hana maneno mengi kwanza ashaoa
😂😂😂😂 Home g homegggg alwaysssss ... Mliniweka mbali sana na jinsi nilivyo khaaani raha kweli kweli,, nitakua nakusaidia kuspell ambavyo vitakua vigumu kwako😆😆 mfano hiyo Hunie" unaiwekea na nakshi ya kikopa 😜
nilitaka kusema neno ,nimesahau ,halafu nikakumbuka huyu kamandaKaah jamani... Niwatag watu waje kukushuhudia? 😂😂😂