JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

standard life, ila kuna walio chini, mie nina bahati moja ya kuishi kwenye..sana na kwenye...kiasi..lakini nimekua nashinda sana karibu kila siku uswazi ,huko watu hali mbaya
maisha ya uswazi sana mi sijawahi kuyaishi naishiaga kusimuliwa au kuyaona kweny tv mara chache chache,,

ila maisha duni nimeyaona enzi za shule wakati nipo field kuna watu walikua wanakuja kujitaji kuduma na pesa hawana yani dah sijui nisemaje ila ndo hivyo njaa ipo ukweli ukweli
 
maisha ya uswazi sana mi sijawahi kuyaishi naishiaga kusimuliwa au kuyaona kweny tv mara chache chache,,

ila maisha duni nimeyaona enzi za shule wakati nipo field kuna watu walikua wanakuja kujitaji kuduma na pesa hawana yani dah sijui nisemaje ila ndo hivyo njaa ipo ukweli ukweli
ndio maana tukasema wewe wa kishua?
 
Back
Top Bottom