JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Moyo unakuuma kisa mtoto wa 5 ameachwa home peke yake.

Huku uswahilini mtoto wa 5 ana wadogo zake wawili wazazi wanaenda kutafuta hela yeye anabaki anawahifumia wadogo zake na chakula cha mchana anapika.
miaka mitano anajua kupika nini jamni,, huo ni unyanyasaji kabisa

mi sio wa kishua ila nina moyo mdunchu😄 nataka mtoto alelewe kitoto asipitie maisha ya upweke na ukomavu ilihali bado hajafika huko
 
Back
Top Bottom