Kwahiyo wewe wa kishua og,ndio maana unapenda kula tambi na juisimaisha ya uswazi sana mi sijawahi kuyaishi naishiaga kusimuliwa au kuyaona kweny tv mara chache chache,,
ila maisha duni nimeyaona enzi za shule wakati nipo field kuna watu walikua wanakuja kujitaji kuduma na pesa hawana yani dah sijui nisemaje ila ndo hivyo njaa ipo ukweli ukweli
Wanasema katikati ya utani ndio Kuna ukweli 🤣🤣🤣🤣🤣ni mwaka nilo achishwa kunyonya ziwa na mama angu😜
natania😅😅😅
Usitake kujitetea mkuu subir kamanda aje ndio ujua it takes a wolf to catch a wolfMkuu inategemeana na mara, wilaya gani
Kwa hyo unakesha kwenye screen usiku mzima.waaaaaw..😊😊 Leo tupo doria mtandaoni na mkubwa mafwefwe..
....Wanasema katikati ya utani ndio Kuna ukweli 🤣🤣🤣🤣🤣
Wait a minute kamanda,is she au umeteleza najua huyu ni wa kiume au mie ndio sijui🤣🤣🤣😏😏She is just tampering with bomb...tumemuacha tu 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 Dosho si hana adabu🤣🤣Unataka watu wakimbie bure kamanda🤣🤣🤣
Me mwenyewe ni mtu wa mara so naongea uhalisiaUsitake kujitetea mkuu subir kamanda aje ndio ujua it takes a wolf to catch a wolf
bhita ni bhita muraaMe mwenyewe ni mtu wa mara so naongea uhalisia
Inasikitisha sanaWait a minute kamanda,is she au umeteleza najua huyu ni wa kiume au mie ndio sijui🤣🤣🤣
hautaniwi?,, mimi ni bibi 😅hahahahahaha,bado we mbichi kabisa
Umenipa challenge mwenyewe 😁, kwa hyo nije kukusaidia kuperuzi mitandaoni maana utaumia macho ukitumia screen kwa muda mrefu😁🤣🤣🤣🤣 Dosho si hana adabu🤣🤣
Hao ni wakurya wa tarime me kipande changu ni musomabhita ni bhita muraa
khaaaa kwahiyo hauonagi hata nikimuita "sisy " aaah tajeeer wa goba unazingua😅Wait a minute kamanda,is she au umeteleza najua huyu ni wa kiume au mie ndio sijui🤣🤣🤣
Wee nae umechemka alikua anamaanisha mimikhaaaa kwahiyo hauonagi hata nikimuita "sisy " aaah tajeeer wa goba unazingua😅