JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

ok

nimepiga simu ya nyumbani ambayo ni ya dharura huwa ipo tu anapokea yeyote alie karibu lengo niongee na bi mkubwa maana simpati kwa simu yake na jana alinambia anashuhuri mahali ko nilitaka kujua imeendaje, basi kapokea mtoto wa sstr angu ni mkubwa tu nikamuuliza habar za mama akanisimulia akanambia kumbe shuhuri ilikua jana ile ile kwahiyo aliondoka jana na amerudi leo...........

ukimaliza nambie niendelee
 
ok

nimepiga simu ya nyumbani ambayo ni ya dharura huwa ipo tu anapokea yeyote alie karibu lengo niongee na bi mkubwa maana simpati kwa simu yake na jana alinambia anashuhuri mahali ko nilitaka kujua imeendaje, basi kapokea mtoto wa sstr angu ni mkubwa tu nikamuuliza habar za mama akanisimulia akanambia kumbe shuhuri ilikua jana ile ile kwahiyo aliondoka jana na amerudi leo...........

ukimaliza nambie niendelee
Nimemaliza
 
Nimemaliza
nikamwambia oooh sawa, sasa hapo nyumban kuna kijana ambae anasaida kazi ndog ndogo za kiume ni cousin kwahiyo nikamuuliza je flani yupo akasema hapana kaenda kwao kusalimia ila hajarudi, eeh nikamwambia poleni kwahiyo mmenda shule mkafunga nyumba, akanambia hapana baby alibaki (yani huyo bby ni mtoto wa class one) nikamuuliza sababu nini kasema et alisema anaumwa kikohozi, yan nikajikuta roho inauma how come kitoto cha miaka mitano kibaki pekeake nyumbani wakati ule mji ni mkubwa mi mwenyew siwezagi kubaki pekeangu😔,, nikaanza kuwaza na ujinga what if tatizo lingemkuta huyo baby ndo angekoswa msaada kabisa?!,, basi tukaongea vitu vingine nikamuaga then nikakata simu,

story imeishia hapo na moyo wangu ndo umeugulia maumivu kwa style hiyo hii yote ni kwasababu kumbukumb za matukio ya ajabu yameniijia akilini mwangu
 
nikamwambia oooh sawa, sasa hapo nyumban kuna kijana ambae anasaida kazi ndog ndogo za kiume ni cousin kwahiyo nikamuuliza je flani yupo akasema hapana kaenda kwao kusalimia ila hajarudi, eeh nikamwambia poleni kwahiyo mmenda shule mkafunga nyumba, akanambia hapana baby alibaki (yani huyo bby ni mtoto wa class one) nikamuuliza sababu nini kasema et alisema anaumwa kikohozi, yan nikajikuta roho inauma how come kitoto cha miaka mitano kibaki pekeake nyumbani wakati ule mji ni mkubwa mi mwenyew siwezagi kubaki pekeangu😔,, nikaanza kuwaza na ujinga what if tatizo lingemkuta huyo baby ndo angekoswa msaada kabisa?!,, basi tukaongea vitu vingine nikamuaga then nikakata simu,

story imeishia hapo na moyo wangu ndo umeugulia maumivu kwa style hiyo hii yote ni kwasababu kumbukumb za matukio ya ajabu yameniijia akilini mwangu
Dah! Ni hatari kweli kwa mtoto kubaki peke yake na sasa hivi kumekuwa na matukio ya nyumba kuwaka moto anaweza chezea kitu kumbe kasabisha moto.
 
Dah! Ni hatari kweli kwa mtoto kubaki peke yake na sasa hivi kumekuwa na matukio ya nyumba kuwaka moto anaweza chezea kitu kumbe kasabisha moto.
yani acha tu jirani, bado kunayo haya matukio mengine ya wizi n.k, eeeh hata sitamani kuyakumbuka😔,,

haya nambie nifanyaje ili nikae sawa overthinker mie maan kitu kikiniganda huwa inakua kazi kukitoa😅
 
yani acha tu jirani, bado kunayo haya matukio mengine ya wizi n.k, eeeh hata sitamani kuyakumbuka😔,,

haya nambie nifanyaje ili nikae sawa overthinker mie maan kitu kikiniganda huwa inakua kazi kukitoa😅
Ningekwambia ingia tik tok ila najua ukienda kulala tu lazima akili ikurudishe kwenye matukio ya siku ya leo, labda shukuru tu mungu amekuwa salama huenda itasaidia,

Mi naweza kukaa na kitu hata siku mbili na mara nyingi kinakuja nikitaka kulala au nikiwa peke yangu au sina cha kufanya au wa kuongea nae
 
Ningekwambia ingia tik tok ila najua ukienda kulala tu lazima akili ikurudishe kwenye matukio ya siku ya leo, labda shukuru tu mungu amekuwa salama huenda itasaidia,

Mi naweza kukaa na kitu hata siku mbili na mara nyingi kinakuja nikitaka kulala au nikiwa peke yangu au sina cha kufanya au wa kuongea nae
ndo maan nimekuja huku tuchart ili nipate relief,, nisimulie hadithi basi😊

opsss na wew ni over thinker?😄😄 pole yetu kama jibu ni yes
 
Back
Top Bottom