JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Jana nilikua naumwa, usiku nilikua na kababu zangu 5, kidari na chachandu.
Nikala kababu moja nikatapika nikaacha kula nikagawa msosi.

Leo kila nikikumbuka kababu zangu nahisi kulia, waliozila natamani kuwatia makwenzi.
 
Back
Top Bottom