Mke wa mtu ambaye ni askari magereza kumbe anachapwa na mfungwa
Hakika mapenzi hayana mwenyewe kabisa aisee, kumbe hata wafungwa nao wanawenza wao huo gerezani
Ni ndoa iliyodumu takribani kwa miaka minne ikijaliwa kupata watoto wawili
Mpaka mke kupata kazi hii,mume alihonga hela za kutosha kwa rafiki zake na watu ambao wanatoa connection
Mwisho wa siku mamsap akawa prisoner warden
Kumbe bwana mke huyo akafall in love na mfungwa wake,yes mfungwa wake
Mchongo mzima wa kubumburuka kwa ishu hii ni meseji kadhaa zilizo kutwa kwenye simu ya mke,ambaye kwa sasa tumuite mbwa
Meseji mojawapo ikasema "leo nakuja kukuchukua tuende juu" hapo mke anamwambia mfungwa wake
Mfungwa nae akasema " ila inabidi tuwe makini na hiyo CCTV camera" mke akajibu ambaye ni askari magereza usihofu mie ndie ninajua HIZO KAMERA zinamulika wapi
Kuna text nyingine mfungwa anamwambia mke wa mtu "je hizo meseji umefuta kabla ya simu kwenda kuwekwa chaji"
Mke akasema " simu nimenunua mimi kwahiyo ninaweza baki nayo tu"
Halafu kuna text nyingine mfungwa anamwambia yule askari kwamba "uje na grocery shopping imeisha":
Hapa ina maana kwamba mke huyo kumbe alimnunulia simu mfungwa ambaye ni bwana wake na vile vile humfanyia shopping ya mahitaji yake,dah kuna wafungwa wengine kumbe wanafaidi na hawatuambii tu
Kuna text ya mfungwa anamwambia askari na mke wa mtu "je unafaki na afande fulani,maana amewaagiza watu waje wanipige"
Halafu text ya mwisho mke wa mtu anamwambia bwana wale ambaye ni mfungwa kwamba "please usimwambie yoyote kwamba tunafaki"
Hatar sana aisee, hakika sex haina mwenyewe,iwe gerezani,iwe hospitalini ni hapa tu!
View: https://youtu.be/XH2zGJ96mNI?si=aUSpl8ayNrK0dLXG
Mwisho wa siku mke anahojiwa anakuwa mkali na kusema anafanya kazi mchana na usiku kulisha familia,kikubwa hakumdharau mumewe
Alamsiki!