JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Mkijiskia tu mnauamsha... Naonaga hata mchana unatrend sometimes 😂😂
Watu tushapagawa siku hizi,huu uzi una historia ndefu,kwahiyo kila generation ya uzi huu ina tabia zake

Sisi wa sasa hivi hatufungwi na wakati, tunaliamsha tu

Sijui next generation watakuja kuufanyaje huu uzi🤣🤣
 
Back
Top Bottom