win-one
JF-Expert Member
- May 28, 2024
- 9,268
- 31,653
alewe kwa raha zake alf mie nihangaike kumpa kanga, never ever kaamua kijidharirisha acha anywee kikombe chake 😀😀Basi mpe kanga baby 😊
alewe kwa raha zake alf mie nihangaike kumpa kanga, never ever kaamua kijidharirisha acha anywee kikombe chake 😀😀Basi mpe kanga baby 😊
Sijatamani urojo! Nataka samaki mkubwa nile peke yanguuSasa kwanini useme ukweli hivi 😢
Agiza urojo 😊🤣
hata mgeni akija hauwezi kumpa kichwa aonje?😆Kesho nitanunua kibua nusu, nakula mwenyewe hakiombeki
uchoyo tu😀Sijatamani urojo! Nataka samaki mkubwa nile peke yanguu
Maskini ana anika fimbo njee njee 🤣alewe kwa raha zake alf mie nihangaike kumpa kanga, never ever kaamua kijidharirisha acha anywee kikombe chake 😀😀
Yaani! Sitaki kuombwa nakula mwenyewe.hata mgeni akija hauwezi kumpa kichwa aonje?😆
Ule peke yako 🤣🤣Sijatamani urojo! Nataka samaki mkubwa nile peke yanguu
Nakula siangalii pembeni! Mqcho nakazia kwenye Tv.uchoyo tu😀
WapiUle peke yako 🤣🤣
Nimekumbuka mbali aisee😢
Kuna kipindi fulani 😅Wapi
Unataka nikubembeleze tena! Kuanza kuuliza kipindi ganiKuna kipindi fulani 😅
Yooo 🥹 napenda kubembelezwaUnataka nikubembeleze tena! Kuanza kuuliza kipindi gani
Kujiongeza nimeshindwa! Njaa inavyoniuma hata sikubembeleziYooo 🥹 napenda kubembelezwa
Nibembeleze 🥹 au ujiongeze 🤣🤣
kwanini hauniamin jamni😢😪Ivi unajua wewe hata uongee nini sikuamini🤣🤣
Nimekuta una comment huko siasani siamini kama upo serious nachekaa🤣🤣🙌
Usiwe mkaliKujiongeza nimeshindwa! Njaa inavyoniuma hata sikubembelezi
We mtoto kweli hujui kama ni jukwaa la siasa lile 😆kwanini hauniamin jamni😢😪
hivi kumbe lile ni jukwaa la siasa?, oya mi nimeona uzi upo trending nikaruka nao
Aya ninong'onezeUsiwe mkali
Mimi siuzi samaki 🤣
Sawa maa subiri kiduchu😎Aya ninong'oneze
eishiiiiii nikitoka hapo siangalii nyuma😅Nakula siangalii pembeni! Mqcho nakazia kwenye Tv.
Sicheki na mtu kesho hiyoo
walah vile mi huwa nadeal na trending kila siku nakwambia,,, nyuzi ninazo zisearch ni 3, huu wa usiku wa manane, selfika na ule wa msitari wa wimboWe mtoto kweli hujui kama ni jukwaa la siasa lile 😆
Hata sijui kwanini sikuamini 😅