Ertugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 12,984
- 25,624
Ukisoma kisa hiki unaweza kukata tamaa ya kuoa,lakini hakuna kufeli tuendelee kupambana tu
Ni mtu na manzi yake wako kwenye mahusiano takribani miaka minne sasa
Mwanaume anasema hakuwahi kuamini juu ya upendo wa kweli mpaka pale akipompata huyu manzi
Alibadilisha maisha yake na kuwa mtu ambaye anawajibika kwa maslahi ya maisha yao
Mwanamke huyu alimtia sana moyo jamaa,kutokata tamaa na kupambana katika maisha,iwe jua au mvua lakini hakuna kufeli
Mwanamke huyu alimshauri jamaa yake kuanzisha kampuni ya kufanya usafi,na kweli walianzisha na jamaa akiendelea kupambana ili mkate upatikane na watu wasikose chakula kwa meza
Lakini nyuma ya yote hayo kuna dark story ambayo inabadilisha kila kitu
Hapo awali wanapenzi hawa waliambiwa watoe ushauri kwa vijana juu ya swala zima la kuoa na kusettle,kuepuka kukataa mimba pale ambapo wapenzi wao wakiwa kwenye hiyo situation
Homeboy alitoa somo zuri sana kwa vijana,kwamba ifike kipindi wakue na waamue kuoa na kuanzisha familia, huku kurukaruka hakuna maana,kiufupu alitoa punch line za kutosha
Tuendelee pale tulipoishia,, sasa pamoja na manzi kuwa na akili ya maisha ,kumpa moyo mwanaume wake kwenye changamoto,kitu ambacho wanaume wote tunapenda,ila kuna siri kubwa sana kwa upande wa pili wa shilingi
Ikaja kugundulika kwamba manzi huyu anatembea na cousin wake/binamu wake
Moja ya meseji akimwambia binamu wake "nimepima nimekutwa nipo positive nina pregnant, nilikwambia tutumie kondomu lakini ulikataa angalia sasa shida uliyo nipa"
Mwanamke huyu ambaye sasa tumuite mbwa, akaendelea kusema " yani nikifanya jambo lolote la kipuuzi ujue sababu ni wewe,wala siwazi kutoa mimba maana hata sijui itakuwaje"
Binamu wake akamjibu "relax baby hakuna jambo ambalo halina solution" so wakapanga wakutane ili kuyaweka mambo sawa
So inaelekea walikutana na kushauriana nini cha kufanya,kwasababu baadae ikakutwa meseji inasema " nimeshaongea na jamaa yangu mambo iko sawa na nimeanza clinic"
Hapo inamaana, walipanga yeye na binamu wake wampange yule homeboy kuwa ile mimba ni yake
Na kweli chalii akaingia kingi na kujua ile mimba ni yake
Kuna wanawake wanapata wanaume wako good sana lakini ndio hivyo tena kwenye miti hakuna wajenzi
Unaambiwa jamaa,anafua nguo,kufanya usafi wa nyumba na kupika,yani kabla hajaenda huko kazini,anahakikisha kila kitu kipo sawa,mpaka chakula cha mchana kipo tayar
Mwanamke yeye kazi yake ni kukaa tu au kulala,jamaa anasema hakutaka bibi yake aamke asubuhi na mapema kuepuka baridi
Unaambiwa jamaa kafungua akaunti ya joint venture yeye pamoja na manzi yake,yani jamaa hana baya kabisa,manzi yupo na access na account any time,ila yeye kwenda kufanya kazi huko haendi, jamaa inabidi anamtafuta mdada mwingine anaenda kupiga kazi
Miongoni mwa meseji hizo ikasomeka " najua leo huendi kazini nitakuja huko na kuchukua lodge tukae walau for 5 hours" huyo ni mke anamwambia cousin wake
Halafu meseji nyingine ikasomeka " Jana nimefurahi tumeonana, na nimeridhika kabisa walau mpaka nimelala vizur" manzi anamwambia cousin wake
Jamaa wakati anasoma hizi meseji alikuwa very shocked, yes very shocked kwa jinsi alivyomuamini huyu mpenzi wake,alifanya kila kitu in the name of love kumfanya manzi awe na furaha lakini mwisho wa siku malipo yake ndio hayo,just imagine hilo tukio la manzi yake kwenda kuspend 5 hours na binamu yake limetokea siku tatu tu kabla ya mahojiana haya
Halafu huyu mbwa anaulizwa kwanini amemfanyia hivyo jamaa yake anajibu "baby naona una over raact,je twaweza kuongea kwa nyumba" yani hasira napata mimi huku aisee
Jamaa akafunguka "unaona huyu manzi nimemfanyia kila kitu for 4 good years,nimepambana sana kwa ajili yake lakini I just wasted all 4 years"
Chalii akaendelea kufunguka " unaona bro,mama ya binti amenikabidhi huyu msichana wake nimuangalie na kumtunza lakini angalia alichonifanyia:
Kiukweli kabisa jamaa alionekana yupo disappointed sana
Lakini jinsi alivyokuwa gentleman,akamwambia binti sikia,ile hela kwenye account yetu yote chukua kwasababu mtoto asipate shida ila sitaki kukuona kwenye kampuni yangu Tena
Guess what? Cousin nae kajitafutia kabint kingine anaendelea kujichapia,kwahiyo manzi hapa kaachwa na a very good man,na kwa upande wa pili cousin kavuta kibint kingine anajibless tu
View: https://youtu.be/WTk3kvOIILk?si=gCUinPYRcLGqAKob
Hope tunaendelea kujifunza kwenye haya mastory,siku zote put your head up!!
Alamsik!
Ni mtu na manzi yake wako kwenye mahusiano takribani miaka minne sasa
Mwanaume anasema hakuwahi kuamini juu ya upendo wa kweli mpaka pale akipompata huyu manzi
Alibadilisha maisha yake na kuwa mtu ambaye anawajibika kwa maslahi ya maisha yao
Mwanamke huyu alimtia sana moyo jamaa,kutokata tamaa na kupambana katika maisha,iwe jua au mvua lakini hakuna kufeli
Mwanamke huyu alimshauri jamaa yake kuanzisha kampuni ya kufanya usafi,na kweli walianzisha na jamaa akiendelea kupambana ili mkate upatikane na watu wasikose chakula kwa meza
Lakini nyuma ya yote hayo kuna dark story ambayo inabadilisha kila kitu
Hapo awali wanapenzi hawa waliambiwa watoe ushauri kwa vijana juu ya swala zima la kuoa na kusettle,kuepuka kukataa mimba pale ambapo wapenzi wao wakiwa kwenye hiyo situation
Homeboy alitoa somo zuri sana kwa vijana,kwamba ifike kipindi wakue na waamue kuoa na kuanzisha familia, huku kurukaruka hakuna maana,kiufupu alitoa punch line za kutosha
Tuendelee pale tulipoishia,, sasa pamoja na manzi kuwa na akili ya maisha ,kumpa moyo mwanaume wake kwenye changamoto,kitu ambacho wanaume wote tunapenda,ila kuna siri kubwa sana kwa upande wa pili wa shilingi
Ikaja kugundulika kwamba manzi huyu anatembea na cousin wake/binamu wake
Moja ya meseji akimwambia binamu wake "nimepima nimekutwa nipo positive nina pregnant, nilikwambia tutumie kondomu lakini ulikataa angalia sasa shida uliyo nipa"
Mwanamke huyu ambaye sasa tumuite mbwa, akaendelea kusema " yani nikifanya jambo lolote la kipuuzi ujue sababu ni wewe,wala siwazi kutoa mimba maana hata sijui itakuwaje"
Binamu wake akamjibu "relax baby hakuna jambo ambalo halina solution" so wakapanga wakutane ili kuyaweka mambo sawa
So inaelekea walikutana na kushauriana nini cha kufanya,kwasababu baadae ikakutwa meseji inasema " nimeshaongea na jamaa yangu mambo iko sawa na nimeanza clinic"
Hapo inamaana, walipanga yeye na binamu wake wampange yule homeboy kuwa ile mimba ni yake
Na kweli chalii akaingia kingi na kujua ile mimba ni yake
Kuna wanawake wanapata wanaume wako good sana lakini ndio hivyo tena kwenye miti hakuna wajenzi
Unaambiwa jamaa,anafua nguo,kufanya usafi wa nyumba na kupika,yani kabla hajaenda huko kazini,anahakikisha kila kitu kipo sawa,mpaka chakula cha mchana kipo tayar
Mwanamke yeye kazi yake ni kukaa tu au kulala,jamaa anasema hakutaka bibi yake aamke asubuhi na mapema kuepuka baridi
Unaambiwa jamaa kafungua akaunti ya joint venture yeye pamoja na manzi yake,yani jamaa hana baya kabisa,manzi yupo na access na account any time,ila yeye kwenda kufanya kazi huko haendi, jamaa inabidi anamtafuta mdada mwingine anaenda kupiga kazi
Miongoni mwa meseji hizo ikasomeka " najua leo huendi kazini nitakuja huko na kuchukua lodge tukae walau for 5 hours" huyo ni mke anamwambia cousin wake
Halafu meseji nyingine ikasomeka " Jana nimefurahi tumeonana, na nimeridhika kabisa walau mpaka nimelala vizur" manzi anamwambia cousin wake
Jamaa wakati anasoma hizi meseji alikuwa very shocked, yes very shocked kwa jinsi alivyomuamini huyu mpenzi wake,alifanya kila kitu in the name of love kumfanya manzi awe na furaha lakini mwisho wa siku malipo yake ndio hayo,just imagine hilo tukio la manzi yake kwenda kuspend 5 hours na binamu yake limetokea siku tatu tu kabla ya mahojiana haya
Halafu huyu mbwa anaulizwa kwanini amemfanyia hivyo jamaa yake anajibu "baby naona una over raact,je twaweza kuongea kwa nyumba" yani hasira napata mimi huku aisee
Jamaa akafunguka "unaona huyu manzi nimemfanyia kila kitu for 4 good years,nimepambana sana kwa ajili yake lakini I just wasted all 4 years"
Chalii akaendelea kufunguka " unaona bro,mama ya binti amenikabidhi huyu msichana wake nimuangalie na kumtunza lakini angalia alichonifanyia:
Kiukweli kabisa jamaa alionekana yupo disappointed sana
Lakini jinsi alivyokuwa gentleman,akamwambia binti sikia,ile hela kwenye account yetu yote chukua kwasababu mtoto asipate shida ila sitaki kukuona kwenye kampuni yangu Tena
Guess what? Cousin nae kajitafutia kabint kingine anaendelea kujichapia,kwahiyo manzi hapa kaachwa na a very good man,na kwa upande wa pili cousin kavuta kibint kingine anajibless tu
View: https://youtu.be/WTk3kvOIILk?si=gCUinPYRcLGqAKob
Hope tunaendelea kujifunza kwenye haya mastory,siku zote put your head up!!
Alamsik!