Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,062
- 124,558
Bariiidi, kunywa soda ya moto ni uhainiBaridi moto maa🫣
Bariiidi, kunywa soda ya moto ni uhainiBaridi moto maa🫣
Sawa umepata dearBariiidi, kunywa soda ya moto ni uhaini
Acheni kujaza nzi kwenye jukwaa sasa Pepsi ya nini ndani humuSawa umepata dear
Walinzi tupoLeo nitalala kweli? Sioni hata dalili
Karibu, Gordon'sMbona huniulizi natumia kinywaji gani
Wkt Kuna kvantAcheni kujaza nzi kwenye jukwaa sasa Pepsi ya nini ndani humu
Alitakiwa ale ban tu moderator wamelala naonaWkt Kuna kvant
Mind your own business young man, uzi ukijaa unajaza space kwenye simu yako?Acheni kujaza nzi kwenye jukwaa sasa Pepsi ya nini ndani humu
Asante, ila hilo neno la pili sijaelewaKaribu, Gordon's
Lala mwalimu usilete taharuki kesho wanafunzi wanakusibiri darasaniMind your own business young man, uzi ukijaa unajaza space kwenye simu yako?
Una kichaa wewe sio bure, aliyekuambia mimi mwalimu ni nani?Lala mwalimu usilete taharuki kesho wanafunzi wanakusibiri darasani
Kitoa baridi hichoAsante, ila hilo neno la pili sijaelewa
Hahahaha,Ticha unatakiwa kulala?Una kichaa wewe sio bure, aliyekuambia mimi mwalimu ni nani?
Hahahaha,hajui kama wewe kamandaUna kichaa wewe sio bure, aliyekuambia mimi mwalimu ni nani?