Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,331
- 95,713
Hahahaha,mkibadili 🆔 mtuambie,tuendeleze tulipoishiaNimeikumbuka usiku wa manane ya Fake P Hope urassa To yeye Shadow7 Intelligent businessman Vincenzo Jr Tresor Mandala
Hahahaha,mkibadili 🆔 mtuambie,tuendeleze tulipoishiaNimeikumbuka usiku wa manane ya Fake P Hope urassa To yeye Shadow7 Intelligent businessman Vincenzo Jr Tresor Mandala
Naona kubadili id hata hainogiHahahaha,mkibadili 🆔 mtuambie,tuendeleze tulipoishia
Hahahaha,ulikua unatumia 🆔 Gani?Nilipojiunga jf mtu wa kwanza kunipokea ni mshamba! Na hajawahi kuniangusha enzi hizo sijui machimbo ya jf na vihoja vyake.
Kazi za chuo namtumia anifanyie kwa Pc yake then ananitumia! Sasa fikiria angeamua kuniuza🙌
Ila anavyojikausha utafikiri hajui jina langu la ukoo😂
ephenHahahaha,ulikua unatumia 🆔 Gani?
Ni KWELI KABISANaona kubadili id hata hainogi
.....inabidi unikule hadi huzuni iishe babu 😅
Watu wanakimbia wakipata vihoja lakini wangejua tunasoma then tunayaachia hapohapo baada ya miezi tunaona kawaida tu.Ni KWELI KABISA
Mimi JF ya JF, ya Nje ni Nje, ukiona MTU anachanganya ya huku na ya Nje huyo sio GT ,mkimbieWatu wanakimbia wakipata vihoja lakini wangejua tunasoma then tunayaachia hapohapo baada ya miezi tunaona kawaida tu.
Hakika🔥Mimi JF ya JF, ya Nje ni Nje, ukiona MTU anachanganya ya huku na ya Nje huyo sio GT ,mkimbie
Nakuaminia BestHakika🔥
nimeamka salama hofu kwakoSalama kabisa,umeamkaje
ilikua na mfanano na hii, winone nikafanya kuimodfy baada ya kunyimwa ile,,, it was so funny kwa kipindi kile😅 sema ndo hivyo mambo hubadilikaUlikua unatumia jina gani?
Mimi nilikua napenda kuchungulia battle ya enzo na intelligent nilikua nacheka vichambo vya enzo anatoa maneno kama mtunzi wa taarabu😂
eiishhhhh😅😅😅.....
Kumbe ndio wewe ,kutoka ujirani mwema Hadi Sasa...ilikua na mfanano na hii, winone nikafanya kuimodfy baada ya kunyimwa ile,,, it was so funny kwa kipindi kile😅 sema ndo hivyo mambo hubadilika
Hahahaha 🤣,nipo kama sipoeiishhhhh😅😅😅
si ndio😅Kumbe ndio wewe ,kutoka ujirani mwema Hadi Sasa...
namimi nakuona unachukua tule tupoint tudogo tudogo twenye madharaHahahaha 🤣,nipo kama sipo
Hahahaha,ujue hivyo ndio vina ujumbe ndani yake,sie la 7 la mwalimu,huwa tunavionaga hivyonamimi nakuona unachukua tule tupoint tudogo tudogo twenye madhara
Swadaktasi ndio😅
Katingwa na majukumuhii clue nilikuepo pia,, mimi na To yeye tulikua na utani wa kumuita bwana kivuli bby wetu, fake p alikua wizo😅, alf madam urassa ye alikua bestie, Tresor Mandala nilipenda kumuita jirani na vin alikua rafiki,, sijui kukatokea nini mambo yakawa mambo,, bwana shadow ndo hatokei kabisa pande hizi sijui majukumu😄