JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Mwanaume utajisikiaje ukifuma meseji ya mkeo,anamwambia mchepuko wake "leo nataka unifaki mpaka nibreed"

Naam ni mazungumzo ya usiku hapa mtaani kwetu Usiku wa Manane

Guys nitakuwa nachapisha baadhi ya matukio ya wanaume wenzetu ili kuweka ufahamu kwa jamii yetu juu ya swala zima la mahusiano na mapenzi na ndoa. Ni kwa kiasi gani ujiulize mara mbili kabla hujawekeza zaidi kwa huyo mwenza ulio nae, je is she royal to me? Je anastahili kufanyiwa haya ninayo taka kumfanyia au she is just another gold digger?

Tuanzie pale kwenye heading yangu,here is the story

Jamaa alikuwa na demu wake kwa miaka mingi tu,so hivi karibuni wakaamua kufunga ndoa,jamaa yupo vizur sana kiuchumi

Kamjengea mkewe nyumba,kamfungulia hotel,anamsaidia shemeji yake mambo ya kazi na kubwa kuliko yote,hivi karibu alishamwaga materials za ujenzi kwa wakwe zake

From Kenya to Zanzibar

Kabla ya kuoa,jamaa alimchukua baby mama hadi Zanzibar kwenda kupata marashi ya karafuu

Wakiwa huko walikula good time na kufurahia maisha yao,ndio ile funja mifupa kama meno ipo

By the time madhambi yamegundulika ni kwamba ndoa ina umri wa kama wiki tatu hivi,yes wiki tatu!

Wazee wa Comrades fkavour wana code zao hizo,ambazo hata kama umefuta meseji zote,kuna code wakiziweka basi zote zinapatikana

Ile kupekua simu ya mke,ndio mambo yakawa hadharani,kumbe wakiwa Zanzibar na mwamba ,bado aliwasiliana na mchepuko wake na kumwambia "Pamoja na kwamba natarajia kufunga ndoa 24 August lakini Mimi nipo connected na wewe emotionally yani hatuwezi kuachana until death do as apert"

Kama haitoshi ikakutwa meseji inahusiana na mke kumpangishia mchepuko wake hostel,dah halafu kumbuka hiyo hela mke anapewa na mume wake halafu yeye anamhonga mchepuko wake

Mchepuko wa mke unafanya mazoezi gym flani hivi,mke nae kumbe alishaanza mipango ya kumuomba mumewe alimpie gym husika kumbe ili awe pamoja huko na mchepuko wake

Sasa kubwa kuliko kuna meseji kutoka kwa mke anamwambia mchepuko wake "Jana sex kwa bed haikuwa nzuri sana,yani leo nataka unifaki mpaka nibreed "

Je,mwanaume mwenzangu imekaaje hiyo? Halafu unashindwa kuwatumia wazazi wako hela ya matumizi au unashindwa kuwasaidia wadogo zako shida zao,kisa huyo mwanamke uliye naye ambaye analiwa kizembe na mwanaume mwingine

Wanaume sikatai kumgharamia mkeo au mwenza wako,lakini je ni mtu sahihi wa kufanyiwa hayo? Think big!

Hapa chini kuna video moja nitapenda uicheki,huyu jamaa last time alikuwa na demu,walimhoji pamoja na demu wake,na demu kupekuliwa simu yake ndio wale wale wapigaji,utaona kidogo akiwa amevaa suti nyekundu jinsi tukio lilivyokuwa

Maana jamaa ni mtu wa suti tu,sasa Mungu sio Othman,akakutana na kikosi cha Comrades flavour tena,akajitapa kwamba this time kapata mwanamke wa maana, na bla bla kibao

Ikapigwa test tena ya uaminifu,kupekuliwa simu mwanamke akakutwa mpigaji,jamaa hakuamini macho yake,ikabidi amuulize mtangazaji "HIVI WANAWAKE WANATAKA NINI HASA?

Chungulia hiyo video mwenyewe ujionee uhondo



View: https://youtu.be/0KHYOhWCldE?si=GG8FApQkL0vblOkb


Wanaume before you spend your money to a woman,jiulize je anastahili haya ninayotaka kumfanyia?

Alamsiki!
 
Mwanaume utajisikiaje ukifuma meseji ya mkeo,anamwambia mchepuko wake "leo nataka unifaki mpaka nibreed"

Naam ni mazungumzo ya usiku hapa mtaani kwetu Usiku wa Manane

Guys nitakuwa nachapisha baadhi ya matukio ya wanaume wenzetu ili kuweka ufahamu kwa jamii yetu juu ya swala zima la mahusiano na mapenzi na ndoa. Ni kwa kiasi gani ujiulize mara mbili kabla hujawekeza zaidi kwa huyo mwenza ulio nae, je is she royal to me? Je anastahili kufanyiwa haya ninayo taka kumfanyia au she is just another gold digger?

Tuanzie pale kwenye heading yangu,here is the story

Jamaa alikuwa na demu wake kwa miaka mingi tu,so hivi karibuni wakaamua kufunga ndoa,jamaa yupo vizur sana kiuchumi

Kamjengea mkewe nyumba,kamfungulia hotel,anamsaidia shemeji yake mambo ya kazi na kubwa kuliko yote,hivi karibu alishamwaga materials za ujenzi kwa wakwe zake

From Kenya to Zanzibar

Kabla ya kuoa,jamaa alimchukua baby mama hadi Zanzibar kwenda kupata marashi ya karafuu

Wakiwa huko walikula good time na kufurahia maisha yao,ndio ile funja mifupa kama meno ipo

By the time madhambi yamegundulika ni kwamba ndoa ina umri wa kama wiki tatu hivi,yes wiki tatu!

Wazee wa Comrades fkavour wana code zao hizo,ambazo hata kama umefuta meseji zote,kuna code wakiziweka basi zote zinapatikana

Ile kupekua simu ya mke,ndio mambo yakawa hadharani,kumbe wakiwa Zanzibar na mwamba ,bado aliwasiliana na mchepuko wake na kumwambia "Pamoja na kwamba natarajia kufunga ndoa 24 August lakini Mimi nipo connected na wewe emotionally yani hatuwezi kuachana until death do as apert"

Kama haitoshi ikakutwa meseji inahusiana na mke kumpangishia mchepuko wake hostel,dah halafu kumbuka hiyo hela mke anapewa na mume wake halafu yeye anamhonga mchepuko wake

Mchepuko wa mke unafanya mazoezi gym flani hivi,mke nae kumbe alishaanza mipango ya kumuomba mumewe alimpie gym husika kumbe ili awe pamoja huko na mchepuko wake

Sasa kubwa kuliko kuna meseji kutoka kwa mke anamwambia mchepuko wake "Jana sex kwa bed haikuwa nzuri sana,yani leo nataka unifaki mpaka nibreed "

Je,mwanaume mwenzangu imekaaje hiyo? Halafu unashindwa kuwatumia wazazi wako hela ya matumizi au unashindwa kuwasaidia wadogo zako shida zao,kisa huyo mwanamke uliye naye ambaye analiwa kizembe na mwanaume mwingine

Wanaume sikatai kumgharamia mkeo au mwenza wako,lakini je ni mtu sahihi wa kufanyiwa hayo? Think big!

Hapa chini kuna video moja nitapenda uicheki,huyu jamaa last time alikuwa na demu,walimhoji pamoja na demu wake,na demu kupekuliwa simu yake ndio wale wale wapigaji,utaona kidogo akiwa amevaa suti nyekundu jinsi tukio lilivyokuwa

Maana jamaa ni mtu wa suti tu,sasa Mungu sio Othman,akakutana na kikosi cha Comrades flavour tena,akajitapa kwamba this time kapata mwanamke wa maana, na bla bla kibao

Ikapigwa test tena ya uaminifu,kupekuliwa simu mwanamke akakutwa mpigaji,jamaa hakuamini macho yake,ikabidi amuulize mtangazaji "HIVI WANAWAKE WANATAKA NINI HASA?

Chungulia hiyo video mwenyewe ujionee uhondo



View: https://youtu.be/0KHYOhWCldE?si=GG8FApQkL0vblOkb


Wanaume before you spend your money to a woman,jiulize je anastahili haya ninayotaka kumfanyia?

Alamsiki!

95% ya wanaume wanakufa kwasababu ya stress za ndoa .
 
Hujui hizo zinaboost mzunguko wa damu and proper circulation 😁
Ubusy nilionao tu damu inachemka kila kiungo kinakuwa cha moto😆

Nikikaribia menses ntaangalia😎

Haya kanibkess pic moja selfika mi nilale! Shazeeka hapa bila lullaby usingizi unagoma🥲
 
Back
Top Bottom