MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 9,316
- 25,453
I used to cherish that saying with my little brother Intelligent businessman but now sijui yu wapi ? Na anaendeleaje huko alipo .winnone fucking the world😎
Ila maombi yangu awe salama na Allah ampe ustahimilivu na wepesi kwa kila jambo analopitia .
Zaidi akirudi mwambie baba yake wa hiyari yuko hoi bin tabaani ,wa leo wa kesho hivyo amuweke kwenye dua .