JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

😄 CV yangu fupi tu:


  • Mwaminifu ✔️
  • Mcheshi kiasi, si wa kelele 😅
  • Anapenda amani ya akili ✔️
  • Mvivu wa ugomvi ❌
  • Mtaji bado unatafutwa, ila moyo upo kazini. 😂

Sasa zamu yako, vigezo vya mwombaji ni vipi? 😄
1 Ukorofi kilo moja na nusu✔️
2 Hasira ndoo na kisado ✔️
3 mwaminifu✔️
4 mfukunyuku✔️
5wivu unamwagika
6 ungomvi kiduchu kwenye simu✔️
Ugomvi physical 👎
7 sex 100.9.99
 
1 Ukorofi kilo moja na nusu✔️
2 Hasira ndoo na kisado ✔️
3 mwaminifu✔️
4 mfukunyuku✔️
5wivu unamwagika
6 ungomvi kiduchu kwenye simu✔️
Ugomvi physical 👎
7 sex 100.9.99
Kumbe umejijua vizuri kabisa. Sasa baki mwaminifu, hasira zipungue kidogo, mengine maisha yatafundisha. 😄👌
 
Back
Top Bottom