ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,242
- 40,827
kahawa au chaiAhsante
kahawa au chaiAhsante
Ivo yaan 🤒yeye si anajifanya yupo free ndoa za mitala…kaongeza wake bila kunitaarifu bi mkubwa,,,okay okay🤓The Icebreaker unaimuta bebi kumbe nae ana bebi
yes sisy kidoti😊 nimefurahi kukuona,, karibu
🤣🤣🙌🏾Najua kuna mbaya wangu kisha leta unoko huko.
Ama zake ame zangu.
"Sawa mkuu, koto nitalifua. Wewe usisahau kufua mawazo yako pia. 🤣🍻"Pole
Sijakuelewakahawa au chai
Una mwaga mboga sa mtakula nini🤣Ivo yaan 🤒yeye si anajifanya yupo free ndoa za mitala…kaongeza wake bila kunitaarifu bi mkubwa,,,okay okay🤓
Bora tule ugali chuku 🤓Una mwaga mboga sa mtakula nini🤣
Kwahiyo hivi ndio nimeachika sio?The Icebreaker unaimuta bebi kumbe nae ana bebi
Atakuwa kabanwa na majukukumumi pia😘 sikuhizi hatembelei huku kabisa
Mawazo sifui ila koti lako lazima uvae ayuuu Zea"Sawa mkuu, koto nitalifua. Wewe usisahau kufua mawazo yako pia. 🤣🍻"
Ikiwa bado anaumwa basi Allah ampe Shifaa kamili mdogo wangu .mara ya mwisho alisema anaumwa na aliniahidi kurudi akipata unafuu ila mpka saivi sijui chochote kuhusu yeye ila bado namsubiri ni matumaini yangu yuko salama huko aliko
mpe pole huyo baba yake wa hiyari naamini ataku sawa japo umenifanya nihuzunike😔,, bt ni nani?
Pigia msitari halafu weka nukta mwishoniKwahiyo hivi ndio nimeachika sio?
labda,, ukimuona mpe salam,Atakuwa kabanwa na majukukumu
Barikiwa sanalabda,, ukimuona mpe salam,
kwaheri mi natoka,, enjoy your night sisy🥰
Haya njoo PM unitibu. Nakiri kuwa na tatizo hilo.makubwa,, sasa yanki kama wew unaweza kunidhuru?
ngoj pakikucha nitawauliza baadhi ya marafiki zake wa humu hali yake ipoje na kama watakua na mawasiliano na wakalidhia kutoa basi nitakujuza pia,,,Ikiwa bado anaumwa basi Allah ampe Shifaa kamili mdogo wangu .
Nilipewa namba yake na huyo mzee ila sijabahatika kumpata hewani ila ni imani yangu kuwa anaendelea vyema .
Ni rafiki yake kutoka hapa jamvini japo hayupo tena hapa muda mrefu kidogo sasa
"😂😂 Mawazo hayasafishwi mkuu, ila hilo koti ukishavaa usije ukalalamika watu wakikuuliza limekaa vipi. Ayuu Zea! 🤣"Mawazo sifui ila koti lako lazima uvae ayuuu Zea
mwenye shida amfate mganga bana,Haya njoo PM unitibu. Nakiri kuwa na tatizo hilo.
Pia nina tatizo la moyo japo hujauliza.