Upo sahihi mkuu. Tafsiri ya mafanikio inategemea na muktadha wa mtu. Mwingine hajawahi kula milo miwili kwa siku ,siku akianza kula mitatu kwake ni mafanikio. Kuna mtu ana magari matano ,akinunua moja bado kwake anaona ni mafanikio. Tujifunze kujipimia kiwango cha mafanikio tukirejelea tulipotoka sio tukirejelea maisha ya watu wengine.Mafanikio
Kwani huna makebowalifata makebo nikawapa moyo🤣🤣🤭
Sawaa mkuu🤜👏
mkojo upi ulochanganya?guys, guys ... nadhani nimetenda kosa/ dhambi/ kujitia nuksi pasipo kusudia .... ivi ukichanganya mkojo wa kiume wa moto na wa kike wa moto si ni kosa? Haya mabasi ya mkoani yanabidi yawe na vyoo viwili cha kike na cha kiume...
mi nahisi jinsia kuchanganya mikojo ya moto sio jambo zuri . ndo maana kuna vyoo vya kike na kiume ili mikojo usigusane wahenga Waliofanya hivyo walikuwa na maana zao.. sasa huyu mchina mla konono anakuja kututia najisi na mabas yake...
na asipobadilisha mimi nitatengeneza bus langu lenye vyoo viwili...
FactUpo sahihi mkuu. Tafsiri ya mafanikio inategemea na muktadha wa mtu. Mwingine hajawahi kula milo miwili kwa siku ,siku akianza kula mitatu kwake ni mafanikio. Kuna mtu ana magari matano ,akinunua moja bado kwake anaona ni mafanikio. Tujifunze kujipimia kiwango cha mafanikio tukirejelea tulipotoka sio tukirejelea maisha ya watu wengine.
Umekua gold sana mrembo au majukumu yanakushika sana skuizi ?Sounds great¡¡
Nipo tu ila sinaga maoni jfUmekua gold sana mrembo au majukumu yanakushika sana skuizi ?
Yeah but someone missed you Ting 😎Nipo tu ila sinaga maoni jf
nimewamiss piaYeah but someone missed you Ting 😎