Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,355
- 95,749
Njoo ,Nsimbo ukimaliza kuwashika mikonongoj niwashike watu mikono kwanza nitarudi
Njoo ,Nsimbo ukimaliza kuwashika mikonongoj niwashike watu mikono kwanza nitarudi
sio nikimaliza mkesha kabisa ili nije kukusimulia yaliyo jili vizuriNjoo ,Nsimbo ukimaliza kuwashika mikono
Leta mkono nipo hapangoj niwashike watu mikono kwanza nitarudi
Keep hizo takatakaulipanga kunikomoa eeeh? haya umefanikisha bravo 👏😅
🤝 huu hapaLeta mkono nipo hapa
alekusalaaan karibu sanaSamaleko wajameni..
Naomba kuripoti Lindo.
dogo uko poa?0:08
Totally confused!
Lala uko 😏alekusalaaan karibu sana
lala wew kwanza🤨Lala uko 😏
Mimi huu kwangu ndo mda wa kuamka .lala wew kwanza🤨
nimekuja leo kwa mtume nimepata maono ya kuwaona wachawi kama wew😅😅😅 kwanini uamke saa 7 za usiku? unaenda kuwanga amaMimi huu kwangu ndo mda wa kuamka .
kwanza unaamka unaenda wapiMimi huu kwangu ndo mda wa kuamka .
Miaka ya hapo nyuma mama yangu alikua ananiambia mwanangu ukikua usingizi kwako utakua sio wa maana kama unavo uona saizi kipindi hicho nlikua napenda kulala sana.kwanza unaamka unaenda wapi
mama alikua sahihi ila huwezi amini mi nikizidiwa na majukumu naamua kulala tu maana sina namna kwahiyo naona bora nilale zangu 😅 ila sijawahi kuwa na majukumu makuuuuubwa ya kutishaMiaka ya hapo nyuma mama yangu alikua ananiambia mwanangu ukikua usingizi kwako utakua sio wa maana kama unavo uona saizi kipindi hicho nlikua napenda kulala sana.
The prophecy has been full filled majukumu yananikimbiza, yanafanya nione kulala ni kama anasa😂, saiz nimekaa tu hapa nasubiri majira yasogee utu uzima dawa sana 😂.