JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Kwaherini kwaherinii?

Ila mnakosea kwani we ukimtoa mkeo huko buzebazeba unataka awe bilevike asipate exposure? How do u know she doesn’t cook? Wakati kamvumilia mumewe muda mrefu tu anaumwa na kamuuguza!
No,

Niiongelea likema li Zubeda kwenye nyimbo mke wake mzuri bana, a dream woman for every man
 
😃😃Me ni wale striker ambao inabidi ukimpa assist labda umsukumize na mpira ndani 😃😃 ndo atafunga otherwise nakua Nikolas Jackson Post tuu
Hapo hamna ufundi wewote hata ukikaa chini ukasumiza mpira gorini kwa tako Sawa tu
 
Back
Top Bottom