Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 15,073
- 33,774
Changu nakisikia sema kuongea sasa kinanisaliti😃😃😃Ohh jifunze hata mawili matatu, mi pia sijaiva😅
Mbona naona unakitwanga vizuri kabisa
Changu nakisikia sema kuongea sasa kinanisaliti😃😃😃Ohh jifunze hata mawili matatu, mi pia sijaiva😅
Kwasababu sio expert lazima uone hivyo, ila naungaunga sana!Changu nakisikia sema kuongea sasa kinanisaliti😃😃😃
Mbona naona unakitwanga vizuri kabisa
Labda useme hivyo ila naona wewe unakijuaKwasababu sio expert lazima uone hivyo, ila naungaunga sana!
Ndio nasikia vizuri kuongea siwezi labda niunge maneno kwa kuandika! Huwezi kuelewa mpk uwe wa huko!Labda useme hivyo ila naona wewe unakijua
Mm nililala saa hizo hizo nilikaa macho bila kupenda02:30 nilale sasa 😵
😃😃Sawaa sawaa mkuu ngoja nile courseNdio nasikia vizuri kuongea siwezi labda niunge maneno kwa kuandika! Huwezi kuelewa mpk uwe wa huko!
Course wapi wewe😁😃😃Sawaa sawaa mkuu ngoja nile course
SijakuelewaMm nililala saa hizo hizo nilikaa macho bila kupenda
Ilibidi nikaze kuusaka usingizi, by meditationSijakuelewa
Popote tu kwako na broken yako tuu barida 😃😃Course wapi wewe😁
Ooh hapo sawa!Ilibidi nikaze kuusaka usingizi, by meditation
Hii meditation ya kulala unaipigaje mkuuIlibidi nikaze kuusaka usingizi, by meditation
Hebu tulia hapo hapo!Physics ni somo zuri sana 😃😃
Asante mkuu
Mkuu ingia YouTube zipo nyingi sana, sema ni practice na kama ujuavyo inahitaji patience Mm jana nimekaa na focus kwa zaid ya masaa ma2. Ila nilifanikisha kulala na nilifurahi. Leo tena nafanyaHii meditation ya kulala unaipigaje mkuu
Nate mwalimu unene mwanikeHebu tulia hapo hapo!
Sawaa mkuu ngoja nizame hukoMkuu ingia YouTube zipo nyingi sana, sema ni practice na kama ujuavyo inahitaji patience Mm jana nimekaa na focus kwa zaid ya masaa ma2. Ila nilifanikisha kulala na nilifurahi. Leo tena nafanya
Una pose mgongo chini kichwa juu, then unavaa headset, unasikiliza zile mediation sounds, au binary beats.
Inakua kama breathing exercise tuu
Hakuna sehemu naenda 😃😃Hebu tulia hapo hapo!