..I wanna be your soldier oooh, soldier oooh0008
🎬Eeeeh ee eh eh oya kai, nanii uwe naheshima bana, sawa uwe na heshima ndugu yangu, nakuomba kuwa na heshima Sawa.🫠 #Manara thunder storm
Mabinti wa kikurya nawapendaga sana hawanaga uswahili SwahiliFriendly fire😅 Sema wewe siwezi acha kukuchokoza.
Eeh toto la kikurya.
Ni wa early 90's😅🤣🤣Wewe utakuta ni wa 96' barely a millenial halafu unajizeesha. We mrembo tu huna mikazo.
Dogo kuna muda unapiga pasi nyingi nyingi bila kutoa assist, tutafungaje?Unaringa sana aisee wewe utakuwa mseto wa mkurya na mzaramo😆
Unataka kusema Lt.col ni muoga?🤣🤣😆
Wapi uliona shangazi anajiita "bad b*tch megatrone"?
Relax usijizeeshe au unaogopa magenzii kujaa PM?
Lt.col wapi, huyo ni askari mchuzi tu.Unataka kusema Lt.col ni muoga?🤣🤣
Ni officer kweli, serious kabisaLt.col wapi, huyo ni askari mchuzi tu.
huzuni sema huku Bush hakuna joto labda giza tu ndo linanitisha12:05 AM
joto litakumaliza
Kwanini wanawake wa JF mnakesha hivi? Inashangaza ujue?00:4🤗
Mkubwa hivyo unaogopa giza?huzuni sema huku Bush hakuna joto labda giza tu ndo linanitisha
kiukweli sijawahi kupenda giza zito naogopa mnoooMkubwa hivyo unaogopa giza?
Unaogopa vibwengo vitakutokea?😆 Vinyamkera?kiukweli sijawahi kupenda giza zito naogopa mnooo
nikifumba macho naona mauza na nikifumbua ndo mauza pro max😂😂Unaogopa vibwengo vitakutokea?😆 Vinyamkera?