Baba Ndubwi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 1,276
- 2,059
Tunachelewa kulala kisha tunawahi kulala.Dah nimeamua kurudi home tuu maana mitaani hapaeleweki muda huu.
Ni wakati wa kushirikiana na kitanda sasaa
Uzuri ni kwamba usingizi hauchagui pa kulala maana naweza kwenda Kariakoo nikasinzia nikiwa natembea na sitaanguka maana kwa nyomi ile nitakuwa nasukumwa tuu.
Sibebi mzigo wowote maana mkono mmoja utaziba nyuma na mwingine mbele simu naiweka pensi ya ndani simuamini mtu kwa mali zangu aina zoote.
Kariakoo usipobaishiwa utasachiwa.
Ya mbele usipokuwa makini utakuta haipoo. Chunga mizigo yako