JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Haha hilo halina cha komando, Brigedia au nani wote scale ni ile ile. Kuna kipindi warundi walivuka kwao kule wakaingia kambini bila wao kufahamu wako kambini.. zikarushwa risasi kadhaa bahati nzuri wakaishiwa. Tukawaleta Main campus Haha sidhani kama watalisahau hili zoezi
😂😂😂😂😂😂😂 Mazuri sana na yanachekesha ukiona anafanyiwa mwenzako ukiona miguu na mikono inavyotetemeka sasa 😂😂😂 halafu unaambiwa kula maisha😂😂😂
 
Back
Top Bottom