JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Kichwa Kichafu
Wewe sio tena kichwa kichafu wewe ni smart aiseeee .
Nimechungulia kule kumbe watu intelligence bado mpo bongo hapa
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Mwanangu Umetisha Sana Naona Umeshusha Nondo Kule Uliponi-tag.

Now Nimefanya Skimming Kesho Nitatulia Kusoma Zile Nondo.

Shukrani Sana Kwa Kuni-tag Nasema Wewe Jamaa Ni Nyoko.
 
Mwanangu Umetisha Sana Naona Umeshusha Nondo Kule Uliponi-tag.

Now Nimefanya Skimming Kesho Nitatulia Kusoma Zile Nondo.

Shukrani Sana Kwa Kuni-tag Nasema Wewe Jamaa Ni Nyoko.
Mii ni umbwa pia kaka 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Namkubali sana hii jamaa inajiita dizasta vina..
🙌🙌🙌🙌🙌
 
Mii ni umbwa pia kaka 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Namkubali sana hii jamaa inajiita dizasta vina..
🙌🙌🙌🙌🙌
Pamoja Sana Brother 🙌🙌🙌

Tena Kwenye Tribulation Mule Dizasta Vina Ameibaka Beat Hadi Vina.

Na Mule Kuna Maneno Na Vocabulary Nyingi Zinazohitaji Dictionary Ya Kuichambua Hip/Hop
 
Pamoja Sana Brother 🙌🙌🙌

Tena Kwenye Tribulation Mule Dizasta Vina Ameibaka Beat Hadi Vina.

Na Mule Kuna Maneno Na Vocabulary Nyingi Zinazohitaji Dictionary Ya Kuichambua Hip/Hop
Kaka naomba nielekeze huu mstali
02:26 TRIBULATION

""Fix your vocabulary you can read more,
A good poet is the Master of all big words,
Hata uishi juu ya kilele the entire system,
Ntabaki mwenye info elephantiasis.

Naomba ufafanuzi hapo kwa bold maana daah
 
Back
Top Bottom