JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

😂😂😂😂😂😂😂 Daah bado sijapata maana halisi ya neno mzigoni..
Toa mfano zaidi mkuu.
Isije kuwa hata mimi mda huu nipo mzigoni 😂😂😂😂
Kwa mfano niko pale kama IT support officer, ila mixer watu wa finance wana mizigo yao ya excel umeitwa kwa data entry, hujakaa sawa umetumwa misosi kwa kuwa unaenda nje, mara paap umeonekana kwa mlinzi unatoka anakutuma na maji na vitu kadha wa kadha.
 
Kwa mfano niko pale kama IT support officer, ila mixer watu wa finance wana mizigo yao ya excel umeitwa kwa data entry, hujakaa sawa umetumwa misosi kwa kuwa unaenda nje, mara paap umeonekana kwa mlinzi unatoka anakutuma na maji na vitu kadha wa kadha.
😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 Nimeona tuu hapo neno Excel mkuu..
Itoshe kusema kweli unaingiaga mzigoni 😂😂😂🙌🙌🙌
 
Back
Top Bottom