Mbona mapema, kuna mwamba Intelligent businessman ndio anazima taa kila siku. Analala 7am00:05
March 17, 2024.
Sijui nina isomnia.😰
Umelala au leo usingizi umegoma kuja?00:01
🤣🤣🤣sikuona hii,mshnz kweli wewe🙄Samejaaa baba mlezi 🤣 🤣 🤣
Nipo kwa bedUmelala au leo usingizi umegoma kuja?
Hii shida sasa,Nyumba nzima bado wapo macho.
Kuanzia mtoto mpaka wazazi
🙌🙌🙌😂😂😂😂
Tv ipo on ila kila mtu yupo bize na simu 🙌🙌🙌🙌🙌Hii shida sasa,
On a serious note, napata tabu sana kupata usingizi siku hizi.Mbona mapema, kuna mwamba Intelligent businessman ndio anazima taa kila siku. Analala 7am
Hlahahaa nikuulize, mchana nipe ratiba yako in summaryOn a serious note, napata tabu sana kupata usingizi siku hizi.
Yaani unaweza kuta hadi ngoma tisa bila bila jicho jeupe.
Yeah mwaka ushaisha.. oct tuna uchaguzi wa serikali ya mitaa na vijiji12:11 AM
mwezi unakata pasaka keshokutwa
Mbona mwandiko eenyewe unaonesha kama umeandika ukiwa wima?Nipo kwa bed
Sa11 alfajiri niko macho kila siku, 12 niko njiani kwenda mzigoni kwa siku za wiki, 11 jioni narudi maskani siku imeisha maandalizi ya siku nyingine.Hlahahaa nikuulize, mchana nipe ratiba yako in summary
Itakuwa tarehe ngapi?12:11 AM
mwezi unakata pasaka keshokutwa
Kumbe Wanyaki nao hupenda kusimanga wageni?Ana pesa ila sura mwanangu huyo mwanaume ulimkubalia usiku? Kauli ya mama mkwe wa kinyakyusa hapo mwamba umejipinda sebuleni upo kula ndizi nyama na Mahari zako million kadhaa ushatoa(wapo kukujadili chumbani kwao)