Basi ukirudi home kuanzia saa 12 usikae chumbani. Toka nje piga story, kacheki mpira, fanya jogging, soma kitabu, fanya gym.. afu ukitaka kulala let say saa 5 kamili usiku, achana na simu weka labda tu mziki afu iweke pembeni ata kama usingizi hauji USISHIKE SIMUSa11 alfajiri niko macho kila siku, 12 niko njiani kwenda mzigoni kwa siku za wiki, 11 jioni narudi maskani siku imeisha maandalizi ya siku nyingine.
tarehe 1 aprilItakuwa tarehe ngapi?
Watakuficha ila ndo ukweliKumbe Wanyaki nao hupenda kusimanga wageni?
Jaribu kufanya mazoezi jioni mkuu.Sa11 alfajiri niko macho kila siku, 12 niko njiani kwenda mzigoni kwa siku za wiki, 11 jioni narudi maskani siku imeisha maandalizi ya siku nyingine.
Nitajaribu mkuu, ila kwenye simu hapo kweli, imeninyima sana nidhamu ya muda mzuri wa kulala, lakini mda mwingine naamua kuperuzi ili walau nivute muda kwani usingizi umekataa kuja.Basi ukirudi home kuanzia saa 12 usikae chumbani. Toka nje piga story, kacheki mpira, fanya jogging, soma kitabu, fanya gym.. afu ukitaka kulala let say saa 5 kamili usiku, achana na simu weka labda tu mziki afu iweke pembeni ata kama usingizi hauji USISHIKE SIMU
Nilikua sifahamu, Asante sana.Watakuficha ila ndo ukweli
Shukrani mkuu, nitajaribu kulifanya hili.Jaribu kufanya mazoezi jioni mkuu.
Ngoja niwahi sokoni nikamtafutie bibi yenu nguo ya sikukuu, bila hivyo kila siku nitalazimishwa kuja lindotarehe 1 april
Hivi mzigoni ndo wapi jamani 😂😂😂😂😂Sa11 alfajiri niko macho kila siku, 12 niko njiani kwenda mzigoni kwa siku za wiki, 11 jioni narudi maskani siku imeisha maandalizi ya siku nyingine.
Ukishika simu, ukiwa unaangalia TV au unacheki PC kusinzia sahau. Au fanya hivi, unampigia demu wako simu unaweka simu pemben mnakua mnaongea. Apo utasinziaNitajaribu mkuu, ila kwenye simu hapo kweli, imeninyima sana nidhamu ya muda mzuri wa kulala, lakini mda mwingine naamua kuperuzi ili walau nivute muda kwani usingizi umekataa kuja.
january majukumu ni mengi unajiambia 'by february nitakamilisha'Itakuwa tarehe ngapi?
Nilikumiss mwamba...I appreciate you much aisee
Mwezi wa nne tena ada; hii kuwa na watoto wengi ni shida sana, ndio maana wazungu ni wabahili na wabinafsi, wanakuwa na katoto kamoja au viwili ili kukwepa majukumujanuary majukumu ni mengi unajiambia 'by february nitakamilisha'
paap, march hii hapa hujafanya kitu
Acha tu mkuu, mambo ni makubwa mzigoni.Hivi mzigoni ndo wapi jamani 😂😂😂😂😂