JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Hata nikianzisha relation ya mchongo kupoza upwiru nashindwa kuienzi nakua harsh not romantic naamua kuivunja tu upweke unaendelea kunigonga
 
Tafuta hela mkuu,
Wenye hela hawawezi kosa pisi za kwenda.

Watakosa true love ila sio pisi
Dah sasa hapa ni bora kuwa na mkwanja mrefu tuu ili uendelee kuwagegeda tani yakoo aisee wacha mawazo na nguvu nizihamishie kwenye msako wa shilingi kwanzaa
 
Hiyo sio case kaka, Tatzo ni zile huba maana ni zaidi ya wapejz, ni kama ndugu ni marafiki pia yan kila mwanamke nsejaribu kujipumzisha kwake nqshindwa kusettle naona hafai na hakidhi tena hastahili huu upendo.
Hata nikianzisha relation ya mchongo kupoza upwiru nashindwa kuienzi nakua harsh not romantic naamua kuivunja tu upweke unaendelea kunigonga
mna true love mkuu.... usiwe na wasiwasi mtafika mbali, hii miaka 20+ mliopita pamoja si haba.... kwa jinsi ulivonielezea naona the feeling is mutual
 
Back
Top Bottom