JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Dah leo wiki tatu sasa nakesha bila pisi.....wakuu naiomba huruma yenu enyi pisi kali moja tuu kesho twende tukakae meza moja
'sheria mkononi, amani moyoni'
imageedit_2_9126229852.jpg
 
Unajua kuna hatua inafikia, Mioyo inabind together kabisa kwamba huwez tena fanya Choice nyingine ila kusonga mbele. Ila umbali unanitesaaaa haswa.
 
Nina kafeeling kananitesa sana, Naona kama Future inaingia Mitini ila nakua mgum kukata tamaa Coz hanikosei simkosei ila umbali tu ndo unanipa Stress.
kama ni tanzania fanya safari kidogo hata ya siku 3 na yeye utamtoa upweke. hata kama alikuwa na mawazo ya kuchepuka atakuona wa thamani.
 
Tumewah pishana mazngira mara kadhaa ila kwa vipindi visivyozidi mwaka. Hii ya sasa kali ni kama inakua permanent na kazini hawatoi kibari cha kuhama kisa Kuoa au kuolewa.
kwani yeye anaonyesha dalili zozote za kukutia hofu??
 
Back
Top Bottom