mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 23,390
- 75,809
unatesa wenzako hostel humo😂Dahan sijaoga kwanzia j2 nanuka kama mzoga 🤣🤣🤣
unatesa wenzako hostel humo😂Dahan sijaoga kwanzia j2 nanuka kama mzoga 🤣🤣🤣
kipi kikukeshacho??0116
Af dml kama simwelewagi...!acha ufala basi burna boy is the king of afrobeats
Mawazo 😊😂🙈kipi kikukeshacho??
mawazo gani sasa ulivyo na mihela wewe😂Mawazo 😊😂🙈
yupo vizuri sana, ila burna boy is on top hili halina ubishiAf dml kama simwelewagi...!
Yeah hiyo iko waz ila mm nina ushabiki binafs na Wizkidyupo vizuri sana, ila burna boy is on top hili halina ubishi
fundi sana huyo....Yeah hiyo iko waz ila mm nina ushabiki binafs na Wizkid
Anajua sana uyu janja, Anakwambia "Nothing but Joy"fundi sana huyo....
ndo naskiliza ngoma yake ya 'true love' saivi
afu kuna huyu chipukizi 'bnxn'Anajua sana uyu janja, Anakwambia "Nothing but Joy"
Sijamfuatilia nimekua mvivu sana siku hizafu kuna huyu chipukizi 'bnxn'
fatilia mkuu, afrobeats skuizi ni🔥🔥🔥Sijamfuatilia nimekua mvivu sana siku hiz
Mshamba nipe shule [emoji116]afu kuna huyu chipukizi 'bnxn'
Yeah napshana tu na post zao vijana wanakalisha sana siku hiz mziki wa Mbele unafunikwa somehowfatilia mkuu, afrobeats skuizi ni[emoji91][emoji91][emoji91]
dah, mkuu mimi sijawahi kua kwenye mahusiano serious😂Nina kafeeling kananitesa sana, Naona kama Future inaingia Mitini ila nakua mgum kukata tamaa Coz hanikosei simkosei ila umbali tu ndo unanipa Stress.