Dada X kwanza alimuharibia best yake mpaka akakosa kazi,lakini kama haitoshi akafanya juu chini ahakikishe anapata maambukizi ya Upungufu wa kinga mwilini
Hakika duniani kuna mambo,inatokea watu wana kuwa mabest mpaka unafikiria ni ndugu kabisa,lakini wakizinguana inafikia kipindi wanakuwa kama wanyama wasio na utu kabisa
Ni mdada ambaye yupo na jamaa yake kwa miaka mitatu ingawa bado hawajafunga ndoa,ile inaitwa sogea tukae,wana kababy ka miezi 7
Wanaonekana wana mapenzi ya dhati kama wenza walio wengi tu jinsi walivyo,lakini kila mmoja huwa na dark side of the story
This time mwanamke yupo clean,ila mwanaume hayupo clean
Zikasomwa meseji kwenye simu ya mume huku mwanamke anafuatilia
Text ya kwanza, mdada anamwambia yule mwanaume " nipo maeneo ya industrial area,halafu nina nyege kweli"
Mwanaume akajibu "je kulikuwa na haja ya kusema yote hayo"
Mdada akajibu " ndio labda kama sasa hivi umepata mwanamke mwengine toka mkeo aumwe"
Zikasomeka tena meseji nyingine,mdada anasema " ninamtafuta mtu tufanye 3some" mume wa mtu akasema "lakini huyo mtu asiwe na kamdomo"
Meseji zikaendelea,mdada anasema ".Leo usilewe sana nataka unimwagie sperm zinichome kabisa,tena nitakuwa na fulani tutakuwa watatu"
Mdada akaendelea kusema "wewe sio mwanamke hujui tu vile unafeel ukichomwa na hizo sperm"
Wife wakati anasomewa hizi.meseji akasema ebu ngoja kwanza,huyu ni flani na nilblock,alinileteaga matatizo sana huko nyuma
Ikafika time ya kwenda kwa mume wake,kumuhoji
Akaulizwa "hizi ni mambo gani unafanya" huyu ni Jenifer unajua kabisa ni rafiki yangu alinisababishia sana matatizo mpaka nikafutwa kazi,na nilimblock,ikabidi tuanze upya maisha kwenye chumba kimoja"
Wife akaendelea kusema "je namba yake ulipata wapi,ulianza kupekua simu yangu na kupata namba yake,je ilikuwa ya nini?"
Mume ambaye sasa tumuite mbwa,akasema "unajua nilichukua namba yake incase wewe umepata shida naweza kumtafuta" Wife akasema shida gani? Mume kimya
Wife akaendelea kufungua code "unajua kabisa Jenifee ana ukimwi,halafu umemgonga,haya sasa umeniambukiza ukimwo"
Mbwa wa kiumbe akasema "sasa mbona hujaniambia?" Wife akasema kwahiyo nisema kila mtu ninaye muona njiani kwamba fulani anaumwa ugonjwa huu,na.mwingine anaumwa vile"
Wife akaendelea kusema yani huna huruma hata na mtoi / mtoto, ako na miezi 7 hata mimi kupona bado tayar ushamuambukiza ukimwi,na unajua namnyonyesha maziwa
Jamaa kimya anajilaumu tu kwa kujishika kichwa,jamaa akasema tupo live hapa twende tukaongee nyumbani,Wife akasema tukaongee wapi,ushaniabisha hapa live tayar na watu wote wanajua nina ukimwi
Dada akaendelea kufungua code "nimekukuta huna kitu kabisa,nikakubali kukaa na wewe,tuendeshe maisha,lakini ndio unanifanyia hivi?"
Jamaa anasema twende nyumbani tukaongee,Wife akasema nyumbani wapi,una nyumba wewe? Wakati nyumba ni yangu
Kiukweli mke akaanza kuondoka huku kachanganyikiwa,jamaa anamlaumu host wa show unaona sasa ulichofanya,je hizi meseji umetoa wapi? Host akamjibu meseji huwa zipo tu kwenye simu
View: https://youtu.be/LPgOF208wnY?si=Z_lYxvAbrf_50b9b
Host akamlaumu jamaa sasa kwanini hukutumia hata kondomu,jamaa akasema sasa hakujua kama demu mgonjwa
Wazee wa kuuza mechi mpo wengi sana aisee
Alamsiki