JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Huku harage linalimw jpo SI sana.
Chato ndo hulima sana na Barbara hio ya kuelekea bukoba,
Biharamlo.
Mkuu maeneo Kwa sasa sio cheap kiivo.
Heka ni kma lako had lakinaunusu.
Naona tutazungumza asubui, ili tujue Kama tunaeza fanya kitu. Nilisoma report ya makadirio inaonesha geita kma ukilima vizuri Basi maharage ndo kwake.
 
Back
Top Bottom