Drizzle
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 4,857
- 14,747
Huo mtihani nilifail mzee [emoji23][emoji23][emoji23].Hahaha fanya haraka uvute jiko ndani[emoji3][emoji3]
Huo mtihani nilifail mzee [emoji23][emoji23][emoji23].Hahaha fanya haraka uvute jiko ndani[emoji3][emoji3]
Siri yetu..
Nilikusubiri sana nkutoe out. Nkaona kimya. Nkajua labda umevishwa nep mtoto mchanga.Hata sijalala bado....ndio nafikiria kulala.
HBD ....ile ukaniacha mdomo wazi????
Nakusalimu.Ushaweka hapa...hakuna siri tena...haya msalimie wewe....
Nilikusubiri sana nkutoe out. Nkaona kimya. Nkajua labda umevishwa nep mtoto mchanga.
Haha when will the wedding bell be heard? 😀😀Huo mtihani nilifail mzee [emoji23][emoji23][emoji23].
Zimefika...anashukuruNakusalimu.
Ila nimemmiss sana, mwambie asiwe kimya kihivyo kule upande mwingineZimefika...anashukuru
Khaa!!!Ila nimemmiss sana, mwambie asiwe kimya kihivyo kule upande mwingine
Asante...Ila pole kwa uchovu wa majukumu.
Nini..mti umevunjika ama?😂Khaa!!!
Bomba limepasukaNini..mti umevunjika ama?[emoji23]
Kweli nilichanganya madesa. Kuna mtu jana hapa alikuwa anatimiza miaka kadhaa. Nilipokuona kule nikamcompare na wewe. Sorry sana.Wala...sina hiyo siku ....sijui umeitoa wapi...au profile yangu ndio inasema hivyo? Nikajua umechanganya mafaili
Kweli nilichanganya madesa. Kuna mtu jana hapa alikuwa anatimiza miaka kadhaa. Nilipokuona kule nikamcompare na wewe. Sorry sana.
Ila sio mbaya tukipiga pre kama haijapita.
Unatuachaje sasa? Rowin