Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,059
Utafunga na geti au unapita njia tu?
Utafunga na geti au unapita njia tu?
Huu mwandiko wako wa leo inaonyesha hauna usingizi kabisa, mwandiko umejaa energy.
Brabus watu wanasukuma sio kinyonge ujue watu hata mikokoteni hatuna [emoji23][emoji23][emoji23]Ungemalizia maana wagon ni zingine kabisa
Brabus nishaziona 2 zote black posta
Maisha yamebadilika..Kabisa hofu lazima iwepo ukiumwa kidogo tu mafua unajua ni covid.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jumapili kuna sendoff ya corona lakini sasa sijui itafanyika ukumbi gani?Maisha yamebadilika..
Sasa hivi ukipiga chafya mbele za watu unaweza tolewa nduki kama kibaka aiseee...
Tulaewana tu taratibu taratibu acha tuoneshane makali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yeah Mkuu zipo, Yusuph Bakhresa anayo model ya 2019 pia wanayo Brabus tuliyozungumzia juzi
[emoji116] [emoji116] View attachment 1454550
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulia nikutafutie mzee Bongo kunawatu wanavurugu ww acha hizi mambo kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huo mchezo bora waache aisee, m maana corona akiliona nyomi la watu ataanza kutokwa na udenda upya na kama alikuwa na mpnho wa kusepa anaeezabadili maamuzi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jumapili kuna sendoff ya corona lakini sasa sijui itafanyika ukumbi gani?
Umeona hii hellcat kunafala anaown ujue bongo hapa.
Mdogo wangu hii gari ya mwaka huu 2020Hii ndiga Bongo ipo mzee wangu wala usibishe kabisa.
Kwani wataalamu wa mambo hukuwasikia manguli wanakuambai hii ngoma tunaishi nayo lakini mwili utazoea na utatengeneza body immune ya kupambana na hii kitu lakini mpaka dunia iambukizwe kwa 70%Huo mchezo bora waache aisee, m maana corona akiliona nyomi la watu ataanza kutokwa na udenda upya na kama alikuwa na mpnho wa kusepa anaeezabadili maamuzi.
Mambo kama haya yanayogusa maeneo nyeti si vyema kuyafanyia showoff..
Mashine zimenyooka sio mchezo, hapo ndo utagundua kuwa kuna wenye magari na wenye vyombo vya usafiri.
Labda kanunua Alaf kaipaki ndani [emoji38][emoji38]Tulia nikutafutie mzee Bongo kunawatu wanavurugu ww acha hizi mambo kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji38][emoji38][emoji38] Acha tuu MkuuTulaewana tu taratibu taratibu acha tuoneshane makali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lindo limenishinda.Leo niko lindo
Kwani tatizo liko wapi mbona barbus ya SSB ni ya 2020 na ushangai hilo?Mdogo wangu hii gari ya mwaka huu 2020
Usiku mwemaLindo limenishinda.
Achukue mwingine.
Usiku mwema.
6x6 niliona akimiliki tyga tu Bongo hakuna hapa labda Nija huko?Labda kanunua Alaf kaipaki ndani [emoji38][emoji38]
ila hiy gari haipo wanyamwez tungeshaijua
Petrol Heads [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Acha tuu Mkuu
Sasa kun kama hiyo lakini 6 x 6 [emoji91] [emoji91] [emoji91]
Ina matairi sita nyuma Manne
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo sasa ni kazi kwetu kuimarisha kinga ya mwili maana ukiwa legelege huna bahati. Malimao yanaenda na bei kama ya apple.Kwani wataalamu wa mambo hukuwasikia manguli wanakuambai hii ngoma tunaishi nayo lakini mwili utazoea na utatengeneza body immune ya kupambana na hii kitu lakini mpaka dunia iambukizwe kwa 70%