Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 51,725
- 209,011
Baki nayo naanza kuigopa hiyo zawadiNdio njoo huku sasa nikupe.
[emoji23][emoji23][emoji23]nitakufa kabisa mwanzo nmewahi poteza usingizi, uonga na kutetemeka kulinijaa nikarecord na zile voice za mbwaNdo ujue madhara ya kulala peke yako,hao ni mbwa tu je Simba akiungurumia dirishani kwako si utajinyea ww.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha haya nitafanya hivyo
Ndiyo.
Timing ni ww tu kujiwahiWananiharibia timing zangu.
Ngoja ngoja yaumiza matumbo.Timing ni ww tu kujiwahi
Kama unasubiri iharibikie endelea kutuliza ball usiupass kwanza
Tutavunja vitanda ssMlale mnenepe
Au naongopa. Njoo umchukulie mwenzako Zawadi.
Chelewa chelewa utakuta mwana si wakoNgoja ngoja yaumiza matumbo.
Tutatengeneza kipyaaTutavunja vitanda ss
Kuku wangu mwenyewe simshikii manati.Chelewa chelewa utakuta mwana si wako
Hahahahaha mlinzi ww hufai kushika bunduki kabisa maana unaweza kuona mende ukafyatua risasi.Hahaha haya nitafanya hivyo