JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Hahah miaka yetu hio mambo ilikua inafanyika sana aisee sijui kama vijana wa siku hizi bado wana dumisha fani.

Kuna jamaa tulisoma nae,kwny hizo ligi alikua ananyakua kombe mara kwa mara sasa siku hizi namuona kwny tv akitoa ushauri wa mambo mbalimbali kwa vijana(yuko huko kwny ma NGO) hua nacheka sana.,mpk leo jina lake tunamuitaga USHINDI LAZIMA cz ilikua ndio slogan yake hio.
Kuna mto tulikuwa tunaoga juu, jamaa wapo busy kufanya mashindano ya nani atawahi kucheuwa, halafu zile zinakwenda na maji huko chini wanaogaga mademu. Unaweza kuta kuna waliokuwa wanapata ujauzito [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app

dodge
 
100% ukweli mtupu mkuu,ila kufa kufaana mkuu hii inshu ya Moshi imeshazima soo la Makonda tayari.

Wiki nzima tutajadili hili jambo la Moshi waziri mkuu ataunda tume then mchezo umeisha hapo.

dodge
Kweli man, that's too bad. Dini zinaweusha sana watu kipindi hiki. Wakati ukienda ulaya hakuna hata mwenye time ya kuabudu. People are busy kusaka life. Angalia China hawana cha dini wala nini lakini maendeleo yao yanapaa kwa speed ya supersonic.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom