Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,442
- 110,068
ππππππππ
ππππππππ
[emoji23][emoji23] nimeshakunywa etiAcha kabisa hiyo nyimbo ni matata mno kabisa [emoji91][emoji91] kunywa maji kokote kwajili ya kujipongeza.
Siwezi kuacha. Hiyo ni torati.Ukumbuke kuchana nywele[emoji6][emoji6][emoji6]
Naam..Kwa hakika mtu huyu alikua mwana wa MunguHakika
Mimi napenda ile milio ya vinanda na gitas ndio vtanifanya nisikilize taarabu. Kingine nimekulia kwenye wasichana wengi so tulikua tukicheza mechezo ile ya kufunga ndoa ndio wanaimba nyimbo hizo..so hua nikisikiliza taarabu nakumbuka mambo hayo ya utoto na marafiki niliokua nao wakat huo
Nimetumikia sana, kuandaa ibada sana, kusoma masomo sana, kuongoza masifu sana so kwangu ni kawaida sana.
Roman CatholicKanisa gani nikabarikiwe nawe?
Tupo wakutosha mapaka tunabaki.Wadau mpooo?
Siku me mwenyewe.. alikuwepo mdogo wangu na rafiki wawili. Wale wadada karibia wote wana watoto wakubwa sasa.Wacha bhana kwahiyo ulikuwa kama king mswati vile.
Na kwako pia.Muwe na usiku mwema nyote/wote.
Naipenda kule mwishoni[emoji23][emoji23][emoji23] Sasa hiyo ndiyo kaimba bi mwanahawa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Walisadiki badaeNaam..Kwa hakika mtu huyu alikua mwana wa Mungu
Basi kunywa maji kwenye kile kikombe cha kahawa kwajili yangu.
Changamka sasa na ww uwefather 2020.Siku me mwenyewe.. alikuwepo mdogo wangu na rafiki wawili. Wale wadada karibia wote wana watoto wakubwa sasa.
Haya mtumishiRoman Catholic
hunitakii mema weweBasi kunywa maji kwenye kile kikombe cha kahawa kwajili yangu.
Gud nipo babu.Humu hamjambo,
No. Wao wamewahi kwakua mm nimechelewa..nimechelewa kwakua wao wamewahi.Changamka sasa na ww uwefather 2020.