Ronnycinchy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,086
- 7,121
Nimekuelewa....pole sana
Majukumu yanabana hadi mtu unasahau password
Majukumu yanabana hadi mtu unasahau password
Njiwa peleka salamu..Kama ni hiyo aliimba Patricia Hillary wa jkt band[emoji23][emoji23][emoji23] mpenda mipansho Lakini mm kuna kale katarabi ka yule mama anaitwa mwana hawa kama sijakosea ni mzanzibari nyimbo inaitwa njiwa kitup kama hicho ndio naipenda tu hiyo.
AhsanteHakuna kitu kinaitwa Kesho..hujawahi ifikia kesho. Kesho ni man made virtual reality.
Usikae unaiwazia kesho. Ulichonacho ni leo..fanya unachotaka kufanya leo tena sasa hivi.
Utajiri mkubwa ulionao ni kua leo.
-Vinc
[emoji2210]nikakague soko langu
👍👍👍Hakuna kitu kinaitwa Kesho..hujawahi ifikia kesho. Kesho ni man made virtual reality.
Usikae unaiwazia kesho. Ulichonacho ni leo..fanya unachotaka kufanya leo tena sasa hivi.
Utajiri mkubwa ulionao ni kua leo.
-Vinc
Kila la kheri..Kati ya vitu vilivyonishinda ni usomaji somo.Asubuhi natakiwa nisome somo la pili church, ngoja nifanye rehearsal.
Mimi napenda ile milio ya vinanda na gitas ndio vtanifanya nisikilize taarabu. Kingine nimekulia kwenye wasichana wengi so tulikua tukicheza mechezo ile ya kufunga ndoa ndio wanaimba nyimbo hizo..so hua nikisikiliza taarabu nakumbuka mambo hayo ya utoto na marafiki niliokua nao wakat huo[emoji23][emoji23][emoji23] mpenda mipansho Lakini mm kuna kale katarabi ka yule mama anaitwa mwana hawa kama sijakosea ni mzanzibari nyimbo inaitwa njiwa kitup kama hicho ndio naipenda tu hiyo.
Nimekuelewa....pole sana
Asubuhi natakiwa nisome somo la pili church, ngoja nifanye rehearsal.
HakikaHakuna kitu kinaitwa Kesho..hujawahi ifikia kesho. Kesho ni man made virtual reality.
Usikae unaiwazia kesho. Ulichonacho ni leo..fanya unachotaka kufanya leo tena sasa hivi.
Utajiri mkubwa ulionao ni kua leo.
-Vinc
Kanisa gani nikabarikiwe nawe?Asubuhi natakiwa nisome somo la pili church, ngoja nifanye rehearsal.
Kuna ile inaitwa mwanamke hurkha. Kuna hiyo midundo hadi raha..Njiwa peleka salamu..Kama ni hiyo aliimba Patricia Hillary wa jkt band
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kabisa hiyo nyimbo ni matata mno kabisa [emoji91][emoji91] kunywa maji kokote kwajili ya kujipongeza.Njiwa peleka salamu..Kama ni hiyo aliimba Patricia Hillary wa jkt band
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] Sasa hiyo ndiyo kaimba bi mwanahawa..Kuna ile inaitwa mwanamke hurkha. Kuna hiyo midundo hadi raha..
Ameena
Nimetumikia sana, kuandaa ibada sana, kusoma masomo sana, kuongoza masifu sana so kwangu ni kawaida sana.