Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,060
Njoo Pm nikutingoze huku.Siku moja moja walinzi tuwe tunapumzika jaman
Njoo Pm nikutingoze huku.Siku moja moja walinzi tuwe tunapumzika jaman
Hahaaaaa sasa mkuu utakuwa unaachwa nyumaAisee,sasa mimi ukinipa kitabu chenye love story,siku hiyo hiyo nakurudishia.
Siku moja moja walinzi tuwe tunapumzika jaman
Kapita bila hata kusalimia00:21 Amepita hapa
[emoji116][emoji116][emoji116]
Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Hahaaaaa sasa mkuu utakuwa unaachwa nyuma
Kwanini labda?Siku moja moja walinzi tuwe tunapumzika jaman
Jana sikuingia ila leo najitahidi mapema tu.. miss ya Goddess [emoji4][emoji4][emoji4]Siku moja moja walinzi tuwe tunapumzika jaman
Naona kama story za kwenye kahawa,mimi sipendi story ambazo sio real.
[emoji23][emoji23][emoji23] DSM second home lakini. Af mimi napenda mboga za majani, nitakualika siku moja tuwe kama vegeteriansNdo maana hunialiki kula mdudu
Vitabu vya aina hii niliishia kujibia literature O'level lakini nitajaribu kuvisoma tena [emoji4].
So, huwa unavisoma kwa leasure ama and vipi unawezaje kubalance na vitabu ambavyo ni skill based au vya profession yako.
[emoji23][emoji23][emoji23] teyari mzee.
Nitahamia huko maana sipo mbali mkuu. Unipe ukaribisho mapemaaaaDar nikajua unakaa humu.
Tingoze ndo nnNjoo Pm nikutingoze huku.
Kuna time inabidi usikaze sana ubongo. Sometimes unaangalia na vitu rahisiKwanini Mkuu
Kwa 7babu sijaona maana ya hii picha hapa kwamba ww unakunywa mpaka weekdayz?!
Mkuu utaunguza figo
[emoji23][emoji23][emoji23] hupendi imagination ww?