JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Aisee,sasa mimi ukinipa kitabu chenye love story,siku hiyo hiyo nakurudishia.
Nakumbuka nimemaliza O level kuna rafiki wa kaka yangu alinipa Biography ya che Guevara kaniambia nenda kasome chote alafu njoo unihadithie ni nn kimeandikwa humo wallah kitabu nilifunua kuangalia pic ilinimjue che vzr siku soma hata mpaka leo kile kitabu kina thamani ya dola 100 ndio bei ilionunuliwa.
 
Kila mtu ana aina yake ya vitabu anavyovipenda ,mimi napenda vitu ambavyo vinaeleza kuhusu social psychology, science na history ya vitu mbalimbali.
Inshort napenda facts.
Sasa hivi nasoma kitabu cha Nelson Mandela kinaeleza historia yake kitamu sana, ijapokuwa ni kirefu lakini kila page ni nzuriView attachment 1314400
Vitabu vya aina hii niliishia kujibia literature O'level lakini nitajaribu kuvisoma tena [emoji4].

So, huwa unavisoma kwa leasure ama and vipi unawezaje kubalance na vitabu ambavyo ni skill based au vya profession yako.
 
Back
Top Bottom