ZING SOKONI
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,512
- 57,105
Sana,watu wanatumika sana
Tupo lkn
Nilikuwa napasha kidogo
Hahahaha, endelea tuSana,watu wanatumika sana
Nilikuwa nina mpango wa kuanza kuiangalia baada ya zile kelele za last season haswa twirrer. Kuangalia napotakiwa kuanzia na ilipo nikaona sio lazma kila kitu famous nikijue .Nikapiga chiniNow Watching
Game of thrones season 6 ep 3.
What is dead may never Die
Nilikuwa nina mpango wa kuanza kuiangalia baada ya zile kelele za last season haswa twirrer. Kuangalia napotakiwa kuanzia na ilipo nikaona sio lazma kila kitu famous nikijue .Nikapiga chini
Mimi napenda movie za zamani lakini ziwe real. Kuna moja inaitwa Roman empire the reign of blood (sikumbuki jina fresh). Ilikuwa ni series lakini bado ipo katika mfumo wa documentary, haikuniboa. Kwangu ukishaingiza fictions nyingi. Mimi huwa siweziMimi nimeishia season 2 nimepoteza interest.
Mimi napenda movie za zamani lakini ziwe real. Kuna moja inaitwa Roman empire the reign of blood (sikumbuki jina fresh). Ilikuwa ni series lakini bado ipo katika mfumo wa documentary, haikuniboa ila ukishaingiza fictions nyingi. Mimi huwa siwezi
Bora hata umenipa moyo maana wengi ukiwaambia wanaanza kuweka doubts [emoji4][emoji4].Mimi pia hata kwenye kusoma vitabu fiction siwezi kabisa.
Tulia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji43][emoji43][emoji43][emoji43][emoji43]
Tulia [emoji23][emoji23][emoji23]
Aje blood
Bora hata umenipa moyo maana wengi ukiwaambia wanaanza kuweka doubts [emoji4][emoji4].
Vitabu sio mpenzi sana yaani hata nikijitahidi huwa simalizi yani kidogo nilivyojitahidi ni think big, who will cry when you die na capitalist niger [emoji23][emoji23]. Poor me
[emoji43][emoji43][emoji43][emoji43][emoji43]
mm love story ndio naishi navyo ukinipa.Kila mtu ana aina yake ya vitabu anavyovipenda ,mimi napenda vitu ambavyo vinaeleza kuhusu social psychology na history ya vitu mbalimbali.
Inshort napenda facts.
Sasa hivi nasoma kitabu cha Nelson Mandela kinaeleza historia yake kitamu sana, ijapokuwa ni kirefu lakini kila page ni nzuriView attachment 1314400
Mambo bibie?