Goddess
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 7,397
- 25,841
ShukranSawa,karibu sana
ShukranSawa,karibu sana
Utt meingi binafdi sijaipenda hawawez kua wanakufa kma nyanyaUtt wa 6 undergrouds ni upi pale? nimeiona ipo vizuri, japo sikuimalizia inachanganya, flashback zimekuwa nyingi sana
code 8 bado naitafutia muda,
[emoji38][emoji38][emoji38] ee siwezi kuwa Gongowazi mm 'Yanga' kuna wachumba wawili walienjoy sana kukaa jirani na mm walikuwa wanacheka hatari kwa fujo zangu loh ilikuwa awesome mno.
Loh mm zinazo trend ndio zangu hizo lazima twende sawa na watu wakidunia.ha ha hii sijaiangalia kabsa,huwa napata uvivu sana kuangalia movie ambazo zinatrend, yaan zile ambazo zinazungumziwa sana...mwisho wa siku huwa najikuta na mimi nmetizama kutoka kwenye masimulizi ya watu wangu wa karbu.. mfano mzuri ni black pather,, nmeiangalia kupitia simulizi za washikaj tu [emoji2][emoji2][emoji2]
Dada umenizidi mm niliekila mchana[emoji38][emoji38][emoji38] tuendelee kula tu mateso tuachie waliozoea kujitesaLeo nmeshindwa diet nimekula kiepe tena asubuhi [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
sana lakini niliuzunika sana na matokeo ya sale.
perfecto!!
Dada umenizidi mm niliekila mchana[emoji38][emoji38][emoji38] tuendelee kula tu mateso tuachie waliozoea kujitesa
black na blue na the informer bora ipi?Utt meingi binagdi sijaipenda haeawex kua wanakufa kma nyanya
sana lakini niliuzunika sana na matokeo ya sale.
Ha ha basi tunatofautiana bro, sio kwamba sifatilii hizi latest latest la hasha naangalia ila zikizungumziwa sana, nakuwa mzito kaungalia maana unakuta kila kitu anaizungumzia hyo movie tu..Loh mm zinazo trend ndio zangu hizo lazima twende sawa na watu wakidunia.
Sijaangalia mm hiyo.Ha ha basi tunatofautiana bro, sio kwamba sifatilii hizi latest latest la hasha naangalia ila zikizungumziwa sana, nakuwa mzito kaungalia maana unakuta kila kitu anaizungumzia hyo movie tu..
Umeangalia The Courier?ni movie nzuri lakn hajazungumziwa kiasi hicho..ila iko poa sana
[emoji38][emoji38][emoji38] ee siwezi kuwa Gongowazi mm 'Yanga' kuna wachumba wawili walienjoy sana kukaa jirani na mm walikuwa wanacheka hatari kwa fujo zangu loh ilikuwa awesome mno.
Iko vipi hii?Nani alishawahi ona Documentary ya
Bin Laden shoot to kill?