simiss
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 2,100
- 6,170
Nimeishi kusini ila njombe nilikuwa napita tu. Hiyo ngoma hadi makambako sio mchezo na moro pia sio haba japo pana ujotojoto haswa town
Nimeishi kusini ila njombe nilikuwa napita tu. Hiyo ngoma hadi makambako sio mchezo na moro pia sio haba japo pana ujotojoto haswa town
Nikupe za animation uzitafute?
Embu elezea kidogo ilikuwaje maana naona ilikuwa ni suicide hiyo kitu [emoji17]Umenikumbusha niliangukia kwny deep freezer wakt npo mdogo sna hamu .
Sent using Jamii Forums mobile app
Wenye kwao washazoea huko.
Kwani PC yako haina button ya Wi-Fi upite shortcut?Nnatumia window ya ajabu haitaki hata wireless network anyway niambie .
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeishi kusini ila njombe nilikuwa napita tu. Hiyo ngoma hadi makambako sio mchezo na moro pia sio haba japo pana ujotojoto haswa town
Unajua hizo figures katika fictions huwa zinavaa hizo mambo ili kutokujulikana na watu katika life lao la kila siku. Kingine ni kama trend ya stories katika hizo mambo bro au nimekoseaNikuulize swali?
Why do superheroes wear mask?
Nimekutukana bonge la tusi bro [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ingia kwenye fridge sasa.
Njombe ni kisanga ..kuna siku tulipita night tukakuta wadangaji wamevaa short dresses nkasema wana moyo hawa wakati huo nnatweta japo nina koto jepesiOoh sawa wenyeji wa huko wamezoea tayari hali yao hio . moro sio sana inategemea na miezi km wa nane kulikuwa na baridi flani
Sent using Jamii Forums mobile app
Embu elezea kidogo ilikuwaje maana naona ilikuwa ni suicide hiyo kitu [emoji17]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mm simaindigi huwa napenda sana jokes.Nimekutukana bonge la tusi bro [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani PC yako haina button ya Wi-Fi upite shortcut?
Sasa kwann wasivue wakawa fame?Unajua hizo figures katika fictions huwa zinavaa hizo mambo ili kutokujulikana na watu katika life lao la kila siku. Kingine ni kama trend ya stories katika hizo mambo bro au nimekosea
Aah pole sana ilikuwa ni hatari mno.Hahaha tulikuwa nje pale tunaangalia wapita njia basi mm nikasikia kiu nikawambia dadq zangu nasikia kiu mnipe maji wao wapo kimya .
Sikutaka kuwasumbua nikaenda ndani na kufungua freezer nilikuwa kafupi ile nafungua tu kuchukua chupa nikaingia mzima humo ndani na likajifunga npo humo ndani ,
Mungu ni mwema wakaanza kunitafuta baadaye wakanipata kwny humo kwa freezer nikatoka pale natetemeka mno .
Sent using Jamii Forums mobile app
Njombe ni kisanga ..kuna siku tulipita night tukakuta wadangaji wamevaa short dresses nkasema wana moyo hawa wakati huo nnatweta japo nina koto jepesi
Button ya Wi-Fi haipo kwenye pc yako?
Aah pole sana ilikuwa ni hatari mno.
Aah! Ilikuwa ufie humo mpaka kufika monie wangekukosa.Ni Mungu tu alinitetea n um grateful for that mtu kupata akili kuwa atakuwa yupo kwa freezer thn ilikuwa usiku .
Sent using Jamii Forums mobile app
Shikilia button ya shift na hiyo Button ya Wi-Fi kwa pamoja alafu niambie taa imewaka?