Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 27,593
- 53,370
Watu na vipawa vyetu vya mkesha0306
Muda wakulala
Watu na vipawa vyetu vya mkesha0306
Muda wakulala
Kukonda hukondi cha moto unakiona
Chalii upo
Ulikua umelala wwKukosa usingizi ni kipawa kitakatifu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu na vipawa vyetu vya mkesha
Nimeota nakimbizwa na wolf nimestuka baada ya kunidakaUlikua umelala ww
Hamna nimesoma Sana Bible knowledge niko na msingi mzuri wa dini yangu.
Mbona umebaki peke yako wengine wamekimbia wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa mkuu
Kukonda hukondi cha moto unakiona
Le super villain mwenyeweHamna nimesoma Sana Bible knowledge niko na msingi mzuri wa dini yangu.
Hamna nimesoma Sana Bible knowledge niko na msingi mzuri wa dini yangu.
Nimeamsha sana leo ww ndio umekimbia hommie text nyingi sana zakwangu humu.Le super villain mwenyewe
[emoji23][emoji23] unakula wali na ugali dailylinachobadilika hua ni mboga tuYaani diet ni mateso eti unaambiwa usile carbs wakati ndo maisha ya tz huwez kuacha kula wanga unless ujipange .
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]wolf au panyaNimeota nakimbizwa na wolf nimestuka baada ya kunidaka
Wapo wamejifichaMbona umebaki peke yako wengine wamekimbia wapi
[emoji23][emoji23] unakula wali na ugali dailylinachobadilika hua ni mboga tu
Na ww kumbe ulipiga hayo mavitu wakati naanza aah nilikuwa naona simo gani tena hili! mbona matatizo tukawa tunakimbia lakini ikawekwa sheria wakristu wote kusoma lazima basi nikawa naingia kusoma kilazima baadaye nikawa navutiwa sana na hadithi za mule ndio nikaanza nakujia sass.Ooh mm pia nilisoma imeniaffect siwezi soma bible ya kiswahill wkt zamn nilikuwa na nawza .
Sent using Jamii Forums mobile app