JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Nimesahau password ya pm
Dah basi nalia mimi ..na thichedhi na wewe
images(124).jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utacheza na watoto wenzako sio lazma mimi mama yako
Aisee toxic9 hahaa ... wewe ndiye unaye nifanyia fitina mpaka najibiwa hivi .... sijawahi kwenda kwa mganga lakini kuanzia kesho inabidi nianze kufikiria kuhusu kwenda huko ..... hizi sio dalili njema kabisa mkuu mtakuwa mmesha niroga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee @toxity hahaa ... wewe ndiye unaye nifanyia fitina mpaka najibiwa hivi .... sijawahi kwenda kwa mganga lakini kuanzia kesho inabidi nianze kufikiria kuhusu kwenda huko ..... hizi sio dalili njema kabisa mkuu mtakuwa mmesha niroga

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nenda mdogo mdogo mwanamke anatakiwa kubembelezwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi kujua mtu yupo wapi bana hivyo inawezekana anatoa salamu kulingana na yeye alipo.

Mfano wewe mda huu unaweza kuwa unachat na watu wapo Far East huko ukawaambia usiku mwema wakati wenzako kwao ni asubuhi inaelekea mchana saa hizi. [emoji23][emoji23]
Hahaa sasa kabla huyo mtu haja post comment yake si inampasa kuweza kujua majira ya watu anao chat nao kwanza mkuu ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom