Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,517
- 96,070
00:54
Hulali sa hv unafanya nini hapa?Manane hayoo
Haya yalikuwa maelekezo chokozi
Mtoto hawezi kukojoa anajisaidiaHii ni dalili ya usingizi, naona mwataka kulala. Haya kojoeni mlale watoto wazuri eeeh![emoji23]
Fungua tena sasa nitakujaMbona niliifungua kwa ajili yako. ..ukanipotezea. ...
PM zimekuwa aghali siku hizi eehh
00:54
Fungua tena sasa nitakuja
Nipo nawacheki nikitokea kibanda cha mlinzi, leda manenoNilikumiss bwana mkubwa![emoji6]
Izzo biznes alisema kwa sisi waungwana mizigo kama hiyo inaboa[emoji23]Mi nawasaidia kulegeza karaha za lindo nyie mnanilalamikia. Kha !!!View attachment 882842
Mtoto hawezi kukojoa anajisaidia
Sisi wazee wa bandari hizo ndio meli zetu[emoji23]huyo jamaa hizi pichA sijui anatoa wapi
Hivi na wewe ulikuwa miongoni mwa waliopewa maelekezo?[emoji848]
NdioAlaa kumbe!?[emoji848]
Nipo nawacheki nikitokea kibanda cha mlinzi, leda maneno
Kasi ya nn MkuuMbona kasi sana
Ha Ha Ha [emoji3] hiyo mizigo yaitaji moyo kuibebaSisi wazee wa bandari hizo ndio meli zetu
[emoji126]Mbio zako tu