Sasa ole wako........[emoji23][emoji23][emoji23]jamani mswahili wewe nilimaanisha mbembe
Sasa ole wako........[emoji23][emoji23][emoji23]jamani mswahili wewe nilimaanisha mbembe
Mwanamke unapenda pesa weweUmetununulia nini huko dukani?[emoji39][emoji39][emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji23]Bora ufanye hivo coz sina uraia[emoji16] nikifukuzwa na penzi letu ndio kwisha
Mkuu .na wewe tongoza tuHumu watu hawalindi walanini watu wanatongozana sisi tunaita wanawindana.
Sasa nasema hivi OLE WENU.............
Humu watu hawalindi walanini watu wanatongozana sisi tunaita wanawindana.
Sasa nasema hivi OLE WENU.............
Maisha bila pesa si chochoteMwanamke unapenda pesa wewe
Wewe umezidi aiseeMaisha bila pesa si chochote
Tatizo ananikwepa kwepa baada ya wewe kuja.... Ila haina noma.Mkuu .na wewe tongoza tu
Hivi kipi kina ana kati ya afya njema na pesa ?Maisha bila pesa si chochote
Wewe umezidi aisee
Mi napenda tu kuona sura yako
Kama ni Thad wangu muache kabla sijaingia msituni.Tatizo ananikwepa kwepa baada ya wewe kuja.... Ila haina noma.
Usijali nakutumia.Jamani bando limeniishia naomba mnitumie vocha nijiunge[emoji39]
Achana na pesa,kuna kitu nakucheki saiv cha muhimu mnoNdo unipe pesa
Kaka wewe sema tu nikuachie kwa amani na salama,ila ukitaka kuingia msituni nitapoteza vibaya vibaya katika huu uso wa dunia.........Kama ni Thad wangu muache kabla sijaingia msituni.
Huyu mtoto ndio kila kitu kwangu
Mambo?Mkuu haya maneno mazito sana[emoji23] utafanya tulie
[emoji23] ni mzuri haswa kila nikimuonaga hua natamani kumtongoza upyaKaka wewe sema tu nikuachie kwa amani na salama,ila ukitaka kuingia msituni nitapoteza vibaya vibaya katika huu uso wa dunia.........
Nimeacha kaka mkubwa,ila akiingia kwenye frequency zangu ukubali matokeo tu. Tena navyopenda vitu vizuri na nimeshapata sifa zake kwamba mtoto mzuuuri.