JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Binadamu anatakiwa kulala angalau kwa masaa 8
Tena sasa wanasayansi wanadhani kuwa kutopata usingizi wa kutosha ndiyo kisababishi kimojawapo kikuu cha kansa karibu zote. Yaani ukilala chini ya masaa manne kwa siku moja tu immune system yako inazorota kwa asilimia 70; na seli zinachanganyikiwa. Ugunduzi huu umeleta msisimko kuhusu kufumbua mojawapo ya siri kubwa ya vyanzo vya kansa mbalimbali.

Kutopata usingizi wa kutosha pia kunafungamanishwa na unene usio na sababu na hivyo kupelekea matatizo mbalimbali kama kisukari na BP...

TULALE SI CHINI YA MASAA MANANE KWA SIKU. NI MUHIMU SANA...

Lack of Sleep Increases Your Risk of Some Cancers
 
Tena sasa wanasayansi wanadhani kuwa kutopata usingizi wa kutosha ndiyo kisababishi kimojawapo kikuu cha kansa karibu zote. Yaani ukilala chini ya masaa manne kwa siku moja tu immune system yako inazorota kwa asilimia 70; na seli zinachanganyikiwa. Ugunduzi huu umeleta msisimko kuhusu kufumbua mojawapo ya siri kubwa ya vyanzo vya kansa mbalimbali.

Kutopata usingizi wa kutosha pia kunafungamanishwa na unene usio na sababu na hivyo kupelekea matatizo mbalimbali kama kisukari na BP...

TULALE SI CHINI YA MASAA MANANE KWA SIKU. NI MUHIMU SANA...

Lack of Sleep Increases Your Risk of Some Cancers
Mungu wangu! Yakweli haya? Basi tufunge huu uzi tusije tukafa kwa saratani
 
Back
Top Bottom