Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,796
- 48,044
@BbadeNani nisimuharibu ?
@BbadeNani nisimuharibu ?
Najaleta vitendea kazi, nikusaidie kukuelewesha
Nambie saivi plzzzzUkija elewa nitakukumbusha
Hahahahaha,siwezi kumuharibu bro mimi muungwana sana.@Bbade
Mkuu hapo nimekuelewa for sure, ni mfano mzuri sanaSifa ya simba ni kuwinda na kukamata ikitokea fisi wakampokonya alichokamata hapigani na fisi anaonyesha uhodari wake kwa kwenda kuwinda na kukamata kitoweo kingine hivyo mwanaume tumpe mfano wa simba mwanamke akichukuliwa nafuta mwingine chukua mambo yaishe labda kama umetafutiwa itakubidi uwe mkali maana hujui pa kupatia mwingine
Kuna swali nimekuuliza hujanijibu !Naja
Ha ha ha sawa mkuu.Jiongeze na ww,natumai vijana hamtoniangusha kaka yenu ktk hili ,muhimu Mikakati iende sawa na mpira pasi ,tuonane baadae kdg
Hapana mimi sio kasisi. Niliamua hivyo baada ya kupitia masahibu fulani hivi.Ndio mkuu hiyo hiyo
Kwanini uamue kuishi hivo au we ni padre ?
'Ukija' elewa nitakukumbusha ,kijana km hujaelewa hapa basi wewe hufaiUkija elewa nitakukumbusha
Kuhusu ID?Kuna swali nimekuuliza hujanijibu !
unakuja na nini sasa?Naja
Mbali mnoo hua sina uvumilivuMwakani
Si ulisha aga? ??'Ukija' elewa nitakukumbusha ,kijana km hujaelewa hapa basi wewe hufai
Ukija=ukienda ...PM
Nimekupata,kuna mdau ananitahadharisha nisije kukuharibu.Kuhusu ID?
Yeah...ni bbade na sio b-bade au bi-bade
Vijana wananiangusha ,dah codes zote hawashtukiSi ulisha aga? ??
Daaah!Mbali mnoo hua sina uvumilivu
Kama umeelewa ni vema kwasababu unafikiri vipi ikiwa unapigana halafu ikawa bahati mbaya ukaumizwa kwasababu ya umpendae halafu bado akakuacha??,,, unafikiri simba hanauwezo wa kumuadhibu fisi mpaka amuachie kitoweo na kuondoka? Simba angeweza kabisa kupambania Mali yake aliyoitolea jasho lakini anawaza vipi ikatokea kuumia wakati nampiga fisi kesho nitashindwa kuwinda hivyo dawa ni kuacha na kuingia msituni kutafuta kingineMkuu hapo nimekuelewa for sure, ni mfano mzuri sana
Tukishapatana utazionaunakuja na nini sasa?
Mimi nakutazama tu mbona tangu kitambo,nakausha tu !Vijana wananiangusha ,dah codes zote hawashtuki
Itabidi niingie msituni tu kama simba,Kama umeelewa ni vema kwasababu unafikiri vipi ikiwa unapigana halafu ikawa bahati mbaya ukaumizwa kwasababu ya umpendae halafu bado akakuacha??,,, unafikiri simba hanauwezo wa kumuadhibu fisi mpaka amuachie kitoweo na kuondoka? Simba angeweza kabisa kupambania Mali yake aliyoitolea jasho lakini anawaza vipi ikatokea kuumia wakati nampiga fisi kesho nitashindwa kuwinda hivyo dawa ni kuacha na kuingia msituni kutafuta kingine